Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Hahahahhaa hatar mkuuHahahaha mtani
Hahahahhaa hatar mkuuHahahaha mtani
He he mwambie aendelee tu kukujaza binamu yako baba wawiliHahahahaaha jiranibww,,usiombe ukutane na
Kuna watu wanaijua shughuli yake hapaView attachment 959677
Mmmm jirani wee mbona kutishiana sasa usiku huu akati jirani yako nalala peke yanguHahahahaaha jiranibww,,usiombe ukutane na
Kuna watu wanaijua shughuli yake hapaView attachment 959677
Hahahahaaha jiranibww,,usiombe ukutane na
Kuna watu wanaijua shughuli yake hapaView attachment 959677
KaribuAsante kwa kujua mkuu sio bwana ni mume
HahahahahWewe endelea kumjaza tu mwenzio baba wawili ananijua vizuri tu
Binamu kaenda wapi jirani?Mmmm jirani wee mbona kutishiana sasa usiku huu akati jirani yako nalala peke yangu
Sisi tunaita season,,zile zimewekwa maneno ya kiswahili na dj afroKhaaa baba wawili huijui series ya mpire kama haujui cha kukusaidia mm sina baba wawili




Hahhaah bongo movieBinamu kaenda wapi jirani?
Hahahha usichokipenda sasa msababishi ndio huyo jamalSisi tunaita season,,zile zimewekwa maneno ya kiswahili na dj afro
Naifahamu shangazi,,sema siipendi na sijawahi kuitizama hata mara moja baada ya kuona maudhui yake kwenye trela
Kuna nyingine pia ipo kama empire,inaitwa STAR pamoja na Dynasty,,,kama umeipenda empire hata hz pia utazpenda sana.
HahahahaHahhaah bongo movie
Aisee,,,ok poa endeleen kuburudika na empireHahahha usichokipenda sasa msababishi ndio huyo jamal
Bongo movie inaisha mtu akitoka makapukuHahahaha
Hahahaha aiseee,,safi sana hiiBongo movie inaisha mtu akitoka makapuku
Hahahahahaha nacheka mmHahahaha aiseee,,safi sana hii
Wakitoka hapa kila mtu anapambana na hali yake hahahaHahahahahaha nacheka mm