Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Bhasiii atakuwaa jamaa wakee
Mh
Mbona huyo mweusi
Mh
Mbona huyo mweusi
Nishajibiwaa....akikujibu nitag tafadhari my telemundo
Jamani baba wawili asante sana ila nacheka sana we mbaya sanaHahaha shangazi sio mm huyo,unanifahamu vzr ,,acha tusikilize upako bhana
Hahhahahah na kweli mtoto mzuriNipogo hivi hivi..mtoto mzuri Sina makuu
Kifua bila pesa hainogi
Lets keep appointment to prove it!![]()







Asante mkuu sina urembo wowoteHapana wewe navyoona figa yako unaurembo wa kipee na rangi ya mtume![]()
CC ningendako baba wawili ukuje umuone ndg yakoTuko na ndugu yetu huku nae anajikumbushia kidogo hapo nyuma ndio kwakeView attachment 959657
Hahahahah mfyuu sitaki mimi huo mjina...mimi ulivyosema telemundo nikaona imekaa kimalavidavidavi hivi na kwa kuwa namzimia mtoto basi nikamtunuku.
Hapa sasa kuna wale wazee wa fitna wanaweza kupata kitu cha kufanya nikaachika
Nampendaga jamal mm basi tu mambo yakeBhasiii atakuwaa jamaa wakee
Kwa kuimbaa linajuaa sema bhasii tuNampendaga jamal mm basi tu mambo yake
Baba telemundobaba abj weeeeh
Hahahaha jirani umenitafutia kesi ujueHahahahaha aisee kumbeee

Achana na kuimba kwanza vile alivyo daaahKwa kuimbaa linajuaa sema bhasii tu
Jamani baba wawili asante sana ila nacheka sana we mbaya sana
Hahahahaha mm huyo wa katikatiCC ningendako baba wawili ukuje umuone ndg yako
Nitumie picha pm nidhibitishe madai yakoAsante mkuu sina urembo wowote