Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,297
- 122,384
baba abj weeeeh...mimi ulivyosema telemundo nikaona imekaa kimalavidavidavi hivi na kwa kuwa namzimia mtoto basi nikamtunuku.
Hapa sasa kuna wale wazee wa fitna wanaweza kupata kitu cha kufanya nikaachika
Hahahhaha hakujui huyoNi Mimi. Nimebadilika?
...majibu na maswali ni kama makengeza,
Hahahaha
Kwema mkuu
Hahaha shangazi sio mm huyo,unanifahamu vzr ,,acha tusikilize upako bhanaHahhahahah baba wawili jamani siamini ninayoyaona
Nipogo hivi hivi..mtoto mzuri Sina makuuHahahhaha hakujui huyo
Mweh huyu sio wewe I swear
Asante....sina jibu, nimefurahi tu kukuona hapa
Lets keep appointment to prove it!Mweh huyu sio wewe I swear
Kifua bila pesa hainogiLets keep appointment to prove it!
Unataka niweke picha ya feza pia?Kifua bila pesa hainogi
Ni mm mkuu situmii avatar ya mtu najiweka mwenyewe na sura ya baba angu
Ndio..zimwage juu ya kifuaUnataka niweke picha ya feza pia?
Mmmmmmmmm...nilikumiss pia na kama unavyojua kawaida yangu, nilikumiss sana tangu alhamis
Usimtaje ABJ kwa sauti kubwa, mama yenu nimemuona anapitapita kwa chat
MhHuyuuu jamal lyon wa empire
Hahahahaha aisee kumbeee