Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,652
Fanya fasta
...Demi mwenyewe wewe au mwingine huyu
Fanya fasta
Hahahaha sawa sawa shangazi,,acha leo tusikilize upako,,upako umeanza mapema weekend hii,,jpili tutasikiliza nn sasa




hivi mbona mna majungu hiviii niacheni na nyimbo yangu jamani
Sijakuelewa hata nilichokujibu na unachoniuliza tofautiHahaha baba keagan hivi huyo ndio wewe
Hahaha shangazi nmeacha,,nisamehe sanaSitaki kuamini kama ni wewe baba wawili ninayekupenda ndio unanisnitch khaaaa
hivi mbona mna majungu hiviii niacheni na nyimbo yangu jamani
....akikujibu nitag tafadhari my telemundo






Nimecheka kwa sauti mm binamu umeshapata msamiati mpya
Sijakuelewa hata nilichokujibu na unachoniuliza tofauti
Nimecheka kwa sauti mm binamu umeshapata msamiati mpya
Ni Mimi. Nimebadilika?...Demi mwenyewe wewe au mwingine huyu
Sijakuelewa hata nilichokujibu na unachoniuliza tofauti
...mimi ulivyosema telemundo nikaona imekaa kimalavidavidavi hivi na kwa kuwa namzimia mtoto basi nikamtunuku.
Hapa sasa kuna wale wazee wa fitna wanaweza kupata kitu cha kufanya nikaachika
Hahhahahha demi huyohuyo og...Demi mwenyewe wewe au mwingine huyu
Hahhahahah baba wawili jamani siamini ninayoyaonaHahaha shangazi nmeacha,,nisamehe sana
Ngoja nikutafutie na wimbo mwngine wa upako usikilize
Ni Mimi. Nimebadilika?
Binamu tumesalimianaa kwelii ?
Na wewe ukiwepo binamu...nawashangaa sana kwa kweli, wakuache upumuwe
...tusalimiane wapi anko, nilikuona umezungukwa na warembo muda ule nakuja kuangalia taarifa ya habari. Umeshaondoka?