Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Kwahiyo umesahau eenh.....aisee, mbona nilikuwa sijui!! Why nakuwa wa mwisho kujua!?
Kwahiyo umesahau eenh.....aisee, mbona nilikuwa sijui!! Why nakuwa wa mwisho kujua!?
Kweli yaani dahSema kweli mkuu
Huyu anakunywaa juis ya miwaSi mnajua mdau wenu niko kwa road huku South natoka Ntwara naenda Masasi, sasa nimewaza hapa maana nimeona ajali. Nikakumbuka asilimia 22 ya ajali husababishwa na kilevi (DUI) sasa hizi asilimia 78 si husababishwa na wanywa jwisi, soda, fursana, vimto, anjari.
Safari inaendelea, tumevuka hapa Mpowola tuaisaka Njenga, halafu Ndanda kisha nanyooka to Masasi kule aliozaliwa Che BWM, kama kuna mdau yuko Masasi nitakuwa Mkomaindo jioni nitakuwa bar moja maeneo ya sokoni
Asisahau na ndoo ya majiWoyooooo
Nasema hivi asiye na babe abebe geisha


Sema kweli prince
Wa mwisho kujua lkn wa kwanza kuelewa......aisee, mbona nilikuwa sijui!! Why nakuwa wa mwisho kujua!?
Nimenunua smart TV, ndo ninaiijia hapa Masasi, ni used mpya kwangu. Furahi kwa ajili ya jambo hili kubwa la kitaifa




Wanywa juisi ya Ndimu nao wamo. ?Si mnajua mdau wenu niko kwa road huku South natoka Ntwara naenda Masasi, sasa nimewaza hapa maana nimeona ajali. Nikakumbuka asilimia 22 ya ajali husababishwa na kilevi (DUI) sasa hizi asilimia 78 si husababishwa na wanywa jwisi, soda, fursana, vimto, anjari.
Safari inaendelea, tumevuka hapa Mpowola tuaisaka Njenga, halafu Ndanda kisha nanyooka to Masasi kule aliozaliwa Che BWM, kama kuna mdau yuko Masasi nitakuwa Mkomaindo jioni nitakuwa bar moja maeneo ya sokoni
Kupendaa ukapendwaaa rahaAsisahau na ndoo ya maji![]()
Mkumbushe aniamkie na asisahau kuniita ShangaziKheeee mke wa Lyon Lee binamu upoje lakini



Jiwe siyo wewe,shikamoo shangazi!Niko hapa
.....najua, ndo maana namtaka maana napenda mtu mwenye uzoefu, sitaki njuka mimi


Shangazi ni wewe eenh.?Unamsaidia kumkojolesha kwenye maziwa na kwenye mapaja sema nyie wanaume hamtavumilia mtatoka tu nje kuchepuka


Sijambo mimi habari ya wewe.?mama hajambo.? Anko Binam wako ana taarifa hiyo.?..Maria, hujambo beibe!! nna zawadi yako spesho, nikifika napoenda nitakuelekeza uende stand ya basi ukaipokee

(kwakua bado tupo ktk sayari nyingine)