Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Ni mm hapa shangazi yaan mmShangazi ni wewe eenh.?![]()
HahhahahaSijambo mimi habari ya wewe.?mama hajambo.? Anko Binam wako ana taarifa hiyo.?(kwakua bado tupo ktk sayari nyingine)
Wewe hapooo toto angu ninayekupendaShangazi ambae huwa anakuangusha ni nani?![]()
Jiwe hawezi achwa jiwe anapendwa jamaniiiHivi huyo mjomba ni nani ili na mimi nimfanyie teuzi jiwe abaki aking'a ng'aa macho kama sisi tunavyong'aa ng'aa macho?![]()
Sasa hivi naanza mchakato wa kumwaga ugali liwalo na liwe!Aiseee yaani unataka kusema kwamba "ukimwaga mboga namwaga ugali sio. ?
Utalaaniwa na shangazi



HahhahhahaahAcha mambo yako mkuu mimi nilishapewa chura wangu siku nyingi sana!
Hahhaha huyo cha ujeuriRafiki yangu Behaviourist anateseka sn jamani![]()
Yaani kashindwa kifwalaaa kashindwa mapema kabisaAlishindwa na akakazia kwa kuniita DADA![]()
Wewe baada ya kunyang'anywa mke kupitia teuzi za kushtukiza unajifanya eti haina shida!!




NakaziaShangazi pia ni kungwi lakini pia ni jiwe vilevile!
Dua la mwewe atii.Kiboko yenu ni tenguzi tuuuu!![]()
Acha kiherehere mimi nilishapewa chura wangu siku nyingi na jambo zuri huwa haji huku kwa hiyo siwezi kufanyiwa tenguzi kirahisi kama ninyi!!Rafiki yangu Behaviourist anateseka sn jamani![]()
Binamu ukuje ukusema sasa usiitwe shangazi utachanganya shangazi ni shunie tu

kwani mke wa mjomba ni nani vile,?Anakufa kikomandoWewe baada ya kunyang'anywa mke kupitia teuzi za kushtukiza unajifanya eti haina shida!!


Shangazi nimekupiga vita wapi?Marahabaa totoo angu mzima ww nakupenda mm shangazi yako hata kama unanipiga vita



Ebu acha wivu we mtoto jamaniiSasa hivi naanza mchakato wa kumwaga ugali liwalo na liwe!![]()