marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
Mjomba nakusalimia mie.!Hahahaha
Bonjour
Kukutishaje sasa
Mjomba nakusalimia mie.!Hahahaha
Bonjour
Kukutishaje sasa
Shangazi ambae huwa anakuangusha ni nani?Wouzeeeerrr wouzeeerhujawahi niangusha baba wawili



Hivi huyo mjomba ni nani ili na mimi nimfanyie teuzi jiwe abaki aking'a ng'aa macho kama sisi tunavyong'aa ng'aa macho?Hapa hapa Shangazi.
Tumekumiss pia mama..kwani mjomba anabana sana.?



HahhahahaKweli yaani dah
Hivi huyo mjomba ni nani ili na mimi nimfanyie teuzi jiwe abaki aking'a ng'aa macho?![]()



Aiseee yaani unataka kusema kwamba "ukimwaga mboga namwaga ugali sio. ?
Hahhahhaa teuzi ipiii sasaMsherehekee kwa teuzi ss
Ila ww uoga wako si ulishindwa lakini princeHahahaha si hizi teuzi zako kwa marybaby, jinsi unavyo tuteua
Acha mambo yako mkuu mimi nilishapewa chura wangu siku nyingi sana wewe ndiyo una hofu ya kuibiwa mke!!Mzee wa chura ndo anatesekaaa



SanaaaaaKupendaa ukapendwaaa raha
Alishindwa na akakazia kwa kuniita DADAIla ww uoga wako si ulishindwa lakini prince


kwakua ameuza mzigo sio.?
Binamu ukuje ukuMkumbushe aniamkie na asisahau kuniita Shangazi![]()


sema sasa usiitwe shangazi utachanganya shangazi ni shunie tuWewe baada ya kunyang'anywa mke kupitia teuzi za kushtukiza unajifanya eti haina shida!!.....kwa namna anavyoteseka inabidi tumtafutie wizara yenye hips za nyoka
Marahabaa totoo angu mzima ww nakupenda mm shangazi yako hata kama unanipiga vitaJiwe siyo wewe,shikamoo shangazi!
Shangazi pia ni kungwi lakini pia ni jiwe vilevile!Shangazi ni wewe eenh.?![]()