Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jumatatu Njema Wadau.

Nilikuwa na wikend nzui, asanteni kwa kutouliza ila najiaminisha kuwa kila mmoja alikuwa na wikend ya tofauti na yangu.
Jtatu siulizi kama Kuna Jipya.

Salamu nyingi sana tokea Nangao naelekea Masasi, nikifika nitawaambia
Shikamoo binamu
 
...sina tamaa kwa hiyo wivu sina. Natosheka na afadhari, utani kando aunt, uko poa lakini? Hebu fanya kusafisha jina langu nikupe story moja nzuri sana ambayo baraka zimenimwagikia wikend hii na ninapenda na wewe aunt yangu ushiriki furaha yangu
Niko hapa binamu nakusikiliza mm
 
Woyooooo
Nasema hivi asiye na babe abebe geisha
Hahahahaaaaaa

Samakiii kwa udhamini wa jiwe
20181203_100348.jpeg
 
Si mnajua mdau wenu niko kwa road huku South natoka Ntwara naenda Masasi, sasa nimewaza hapa maana nimeona ajali. Nikakumbuka asilimia 22 ya ajali husababishwa na kilevi (DUI) sasa hizi asilimia 78 si husababishwa na wanywa jwisi, soda, fursana, vimto, anjari.
Safari inaendelea, tumevuka hapa Mpowola tuaisaka Njenga, halafu Ndanda kisha nanyooka to Masasi kule aliozaliwa Che BWM, kama kuna mdau yuko Masasi nitakuwa Mkomaindo jioni nitakuwa bar moja maeneo ya sokoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom