Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mbona emoj binamu sijaziona na ile chandarua yako inaendeleaje eti
Nikisema niulize any weekend plan kwa wadau wa humu tutatchoshana kwa majibu tofauti na wengine tunaweza ishia kuomba assist ikawa tabu kulipa. Ila itoshe tu kusema ninakutakia wikend njema wewe mdau na kwa maana hiyo hebu burudika kwa songi hili tamu lililoombwa na marybaby kwa ajili ya anko wangu bwana nyumbanyingikingimswatifisimaji ndugu yangu kabisa Lyon Lee . Tuwatakie confuckulation wapenzi hawa wapya.




NB: Confuckuration isomeke congratulation, simu yangu ni mpya (nimenunua baada ya kuwa na uhakika wa kulipwa hela za korosho) sasa sijaizoea vizuri
 
Nikisema niulize any weekend plan kwa wadau wa humu tutatchoshana kwa majibu tofauti na wengine tunaweza ishia kuomba assist ikawa tabu kulipa. Ila itoshe tu kusema ninakutakia wikend njema wewe mdau na kwa maana hiyo hebu burudika kwa songi hili tamu lililoombwa na marybaby kwa ajili ya anko wangu bwana nyumbanyingikingimswatifisimaji ndugu yangu kabisa Lyon Lee . Tuwatakie confuckulation wapenzi hawa wapya.




NB: Confuckuration isomeke congratulation, simu yangu ni mpya (nimenunua baada ya kuwa na uhakika wa kulipwa hela za korosho) sasa sijaizoea vizuri
nyumbanyingikingmswati

 
Kuachwa kusikieni tu wadau, yaani hapa ninasikiliza gospel kama nimetoka kubatizwa, nimeanza na David G, yule Prospa Ochimana, Pastor ushindi, Mukubwa, Cece Winnans, Kikosi Kazi, Abihud Misholi, ila tangu atokwe na mapepo sijasikiliza nyimbo zake
Kuachwa kuachwa kuachwa ni kubaya sana mbaya zaidi kwa mtu unayempenda wewe unakonda yeye ananenepa

Ukiachwa achikaaaaaa
 
Kuachwa kusikieni tu wadau, yaani hapa ninasikiliza gospel kama nimetoka kubatizwa, nimeanza na David G, yule Prospa Ochimana, Pastor ushindi, Mukubwa, Cece Winnans, Kikosi Kazi, Abihud Misholi, ila tangu atokwe na mapepo sijasikiliza nyimbo zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom