Makapuku Forum

Makapuku Forum

Heh!!
Hizi teuzi za jiwe na wasiwasi nazo sana,,tazama kama hii teuzi iliyofanywa jana,,toka nmeteuliwa nipo nipo tu,,hyo ofisi yenyew sijakabiziwa nipo kama wazir kimvul


Ha hahahahhaha, jiwe kakuona wewe kama Mzee Kingunge Ngombale Mwiru

Salama kaka
 
...bado ni mapema mno kulisema hili, marybaby bado ana hasira ya mimi kumuombea lift kwenye gari la kijeshi, akigundua umuhimu wa nilichofanya hasira zitapungua na atarudi kuwa na mimi vinginevyo akinikubali watamshangaa sana
Hahaha na iman atarudi kmya kmya,,hapa hawez tangaza kama karudi,,,anaanzaje kuutosa ule mpunga wa koroshow??

Binamu ,,,ngoma ya watt haikeshi
 
Hahaha na iman atarudi kmya kmya,,hapa hawez tangaza kama karudi,,,anaanzaje kuutosa ule mpunga wa koroshow??

Binamu ,,,ngoma ya watt haikeshi

...ha ahha, sure, haikeshi na kule kwa anko wangu Lyon Lee ni kama ameingia chumba cha mkaa. Koroshow zinalipa yaani ungekuwa hapa Lindi leo (niko Lindi) ungekula kinywaji unachopenda kwa pesa yako
 
Hahahahh mbona povu la kumwagwa binamu ukiachwa achika
...asante kwa kulijua hili, hawa wengine wananichanganya tu na hivi nimekaribia kupata hela basi wasingenimwaga ningechanganyikiwa zaidi. wabarikiwe sana na wewe uwe na siku nzuri kwa kusababisha yote
 
Nikisema niulize any weekend plan kwa wadau wa humu tutatchoshana kwa majibu tofauti na wengine tunaweza ishia kuomba assist ikawa tabu kulipa. Ila itoshe tu kusema ninakutakia wikend njema wewe mdau na kwa maana hiyo hebu burudika kwa songi hili tamu lililoombwa na marybaby kwa ajili ya anko wangu bwana nyumbanyingikingimswatifisimaji ndugu yangu kabisa Lyon Lee . Tuwatakie confuckulation wapenzi hawa wapya.




NB: Confuckuration isomeke congratulation, simu yangu ni mpya (nimenunua baada ya kuwa na uhakika wa kulipwa hela za korosho) sasa sijaizoea vizuri
 
Kuachwa kusikieni tu wadau, yaani hapa ninasikiliza gospel kama nimetoka kubatizwa, nimeanza na David G, yule Prospa Ochimana, Pastor ushindi, Mukubwa, Cece Winnans, Kikosi Kazi, Abihud Misholi, ila tangu atokwe na mapepo sijasikiliza nyimbo zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom