Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,453
Hahahaha, mambo Rafiki
Anakusalimia tu...![]()
Anakusalimia tu...![]()
Muache Mzee wa watu jamanHahahhahahah nacheka mm
Sijakutosa mm we ndio anko wao humu unaanzaje kujitoaHahahaha, kweli shangazi, nilikua naona tu movement za watu humu
Bora umenitosa ,lkn wangejua nilikua naomba Roho mtakatifu huu urafiki uwe special humu makapuku
Ila ndio hivyo,acha tu nile ugimbi kwa Shayo hapa ,naona timu yake ya vyura wameshinda
Hahahahha nimemshika watu mmMuache Mzee wa watu jaman
Hahhahahahhahah
Pale katiiiiiiiiiii![]()
Hahahhahahah nacheka mm
Hahahahahahah![]()
![]()
![]()
![]()
mnoo
Muache Mzee wa watu jaman
Salama kabisa rafiki,ila uache kutoa ofa zako huko kwa shayo shauri yako kuna watu wanapenda hela humu utajakombewa hela zoteHahahaha, mambo Rafiki
Ukimaanisha nitammalizia hela zakeSalama kabisa rafiki,ila uache kutoa ofa zako huko kwa shayo shauri yako kuna watu wanapenda hela humu utajakombewa hela zote
Nimeshakusaidia mzee wa ugimbi,nilianza kutahamaki eti ni wewe kweli umeanza hizo mambo
Toka jana na Shangazi yako hajanipa ht zawadi nilivyokomaa nayoHahahaaa
Umemaliza
Hahahaha, nani wakunikombea hela humu? Na wote humu hamtaki mla ugimbiSalama kabisa rafiki,ila uache kutoa ofa zako huko kwa shayo shauri yako kuna watu wanapenda hela humu utajakombewa hela zote
Mungu atuangazie kwa hili,tunaumiza watt bila sababu za msingi.Kuna sababu nyingi lakini kubwa kuliko ni uvivu na kuogopa kuchuja urembo eti maziwa yatalala vibaya.
Wapo wanaosema kazi nyingi ila mama mwenye kujitambua hata kama ana ajira busy huwa anakumbuka kutenga muda wa mwanae kunyonya.
Wapo wanaoachisha watoto kunyonya ili tu bata zisimpite,ofa za bure etc
Hahahaha, sijajitoa ,uhai Wangu humu ni wewe shangazi yaoSijakutosa mm we ndio anko wao humu unaanzaje kujitoa
Wazazi ndio sababuWatoto wa sasa hivi walivyokuwa na njaa wanaanza kulishwa miezi miwili tu
Hahahahahahah mbona shunie kakubali afu mnakwepana kwepana hapaHahahaha, nani wakunikombea hela humu? Na wote humu hamtaki mla ugimbi
Zawadi gani jamaniiToka jana na Shangazi yako hajanipa ht zawadi nilivyokomaa nayo