Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwahiyo unanitishia kwa taarifa yako anko wako yupo kiganjani hafurukuti,kondaa??hahahahahahah mfyuuuu
Ayo ndo maneno ngojaa aje marybaby make ndo anamuweka binamu mjini make wakiuza korosho atamrudishiaa sasa kama unakula pesa ya mwanamke mwenzio ndo tujuee ....

Daladala la binamu lishajazwa kitambo na wakina mama ashura ...wauza vtumbua nyie inabidii muwe makondakta marybaby alikubalii
 
jamaniiii. Hamna bana nabisha ni uvivu tu wa wazazi. Mtoto ni mtoto hana cha usasa na uzamani basi tu mazingira anayojikuta nayo yanampelekesha,just imagine mtoto wa gigy money yule huwez sema kana njaa ndo maana kanalishwa mapema bali mama mtu hana muda wa kukalisha tako kunyonyesha.
mama hakua hta na muda wa kukandwa maji,, sembuse anyonyeshwe
Ujana umetuganda
 
Ayo ndo maneno ngojaa aje marybaby make ndo anamuweka binamu mjini make wakiuza korosho atamrudishiaa sasa kama unakula pesa ya mwanamke mwenzio ndo tujuee ....

Daladala la binamu lishajazwa kitambo na wakina mama ashura ...wauza vtumbua nyie inabidii muwe makondakta marybaby alikubalii
Ebu acha wivu jamani
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Duh aiseeee

Ila bado namtetea mtoto. Mama mtu lishe yake haijakamilika haina virutubisho. Wamama wa zamani walikua wanakula hasa,supu supu,ndizi za maana,uji ndo usiseme maziwa yakitoka hapo full afya na vitamin za kutosha
Numbii sio uvivu tena watoto wa kiume wana njaa mnooo nina jirani yangu hapa ana mtoto wa kiume akimnyonyesha maziwa mtoto hashibi ameanza kunywesha uji na huyo dada ni mama tu wa nyumbani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom