Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,451
Asee pole Sana, sitanii tena nimeacha
We ulifikili niliongea sababu ya nn niliquotiwa uko
We ulifikili niliongea sababu ya nn niliquotiwa uko
Jamani asante ntakuja kwakweli mana namimi nataka mapacha nimzawadie binamu yenuAsante sana jirani
Weekend ijayo njoo uwatembelee
Humu kuna kila kitu kitamu kuna magazeti kuna je wajua kuna music kuna karibu mnoooAsante sana. Kuna nini kitamu humu
Hahahhahahha kwahiyo umemsahauHahahaa aisee ndo Yule wa ugimbi au?
HahhahaahNilitaka nikuambie lkn nikapata taarifa upo honeymoon jirani,,,nikaona ngoja umalize kwanza hlf ntakumbia
Naomba nionjeshe kidogoHumu kuna kila kitu kitamu kuna magazeti kuna je wajua kuna music kuna karibu mnooo
ndio huyo huyo ankolii,,akuambie vzr tuNdo umemzaliaa mapacha wa insta au ni mwingine
Ndio mana nikamwambia mm na we utani wa makapuku tu sikulani na weweAsee pole Sana, sitanii tena nimeacha
Woyooooo binamu uko wapiii jamaniii kuja kwako usiku unapitwaJamani asante ntakuja kwakweli mana namimi nataka mapacha nimzawadie binamu yenu
Hahahahahah sikuwa na uhakika kwamba naye aweza fanya hayo mamboHahahhahahha kwahiyo umemsahau
Naomba nionjeshe kidogo
Msafiri Musa Muhumbuka raia wa Tanzania amekamatwa katika uwanja wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi Kenya kwa tuhuma za ulanguzi wa mihadarati.
Musa ambaye alikuwa safarini kuelekea Uchina tayari ameshatoa kete 116 za madawa ya kulevya.
Alikuwa amemeza dawa hizo kabla ya kuwasili Nairobi.
Yeye pamoja na wenzake 2 wamepewa chakula ilikufanikisha uchunguzi.View attachment 945517
Chukua jukumu la kuwaonesha upendo wanaokupenda.
Wakati mwingi tunasingizia kazi na harakati za kutafuta chakula lakini huja siku ukafutwa kazi. Pesa nazo huisha mtu ukafilisika. Lakini jamii huwa nawe hata baada ya kufariki.
Tupende wanaotupenda!View attachment 945515View attachment 945516
Umoja wa Afrika umekiri kuwa rushwa ya ngono ni tatizo sugu kwa wale wanaotafuta ajira katika shirika hilo la kimataifa.
Mwenyekiti wa umoja huo Moussa Faki amesema uchunguzi wa ndani umebaini asilimia kubwa ya walioathirika ni wanawake wanaotafuta nafasi za kazi za muda.View attachment 945513
Karibuuuuu
Woyooooo binamu uko wapiii jamaniii kuja kwako usiku unapitwa
keshaanza nae kuzeeka ndo manaTayali umewapata jirani,,mapacha kwa huu ukoo ni kugusa tu,wanakuja dabo daboJamani asante ntakuja kwakweli mana namimi nataka mapacha nimzawadie binamu yenu
Ndio mana nikamwambia mm na we utani wa makapuku tu sikulani na wewe
Mm na mapacha wa kudownload we baba wawili wapi na wapindio huyo huyo ankolii,,akuambie vzr tu
Ndio mana nikamwambia mm na we utani wa makapuku tu sikulani na wewe

Hahahahhah kwa sababu yy sio mwanaume au anko wao watu unamuona huyu bintiHahahahahah sikuwa na uhakika kwamba naye aweza fanya hayo mambo
Hahahahahahah hatariiiiTayali umewapata jirani,,mapacha kwa huu ukoo ni kugusa tu,wanakuja dabo dabo
Atakuja hapa usiku![]()
![]()
keshaanza nae kuzeeka ndo mana