Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,729
...ukiondoa hizi milioni nyingi nitakazolipwa za korosho, ninamiliki simu ya Motorola Z inauzwa laki 9 nilinunua usedi. Nimepanga chumba cha uani kina thamani ya milioni 2 maana kina tailizi na kapeti. Ninalipa elfu 15 kwa mwezi maana wenye nyumba walikosa mpangaji
Nina TV sungsing mpya ya mamilioni na hivyo nakubaliana na wewe kuwa mimi ni milionea, ila nikilipwa zile hela za Mo basi nitakuwa bilionea
hatukulipii ada ya tusheni kumbe unazo zote hzoUko wapi Mamii yanguNimemmiss mjomba ebu akija mpeni salaam zangu cc mtu chake
MfyuuuWewe nawe na gubuuuu....
Ukiona hivi ujue shangazi bia zimeshafika mahala pake!![]()






ngojaa nimuwahiiii najuaa meza ashaichafuaaaNa ubahili wake umemsahauSi mmesema we na baba wawili binamu yenu ana mahela ya koroshow
Hahahaha, Mkuu mengine tunamalizana chemba na Shangazi yenuNa wewe mkuu mbona huelewekiiii umemuulizaa kajaa unaanzaa kuuma menooo
Anko leo ni weekend acha kuandika mambo marefu!!...kampeni ya kijinga kabisa hii, kushikana mikono wakati wa salamu ni jambo linaloashiria amani, urafiki na kutojitenga. Busu la shavuni ukutane na yule demu wa anko kajipiga mafuriko ya lipstick si utatafuta talaka bila kupenda. Mimi ninasalimiana kwa kushikana mikono, kampeni ya kunawa mikono ndo muhimu bakteria tunaishi nao, tunapanda daladala wamejaa kwenye viti, hebu twende zaidi ya kampeni hizi, walete maji salama kwa kila mtu ndo waje na upuuzi huu
Ili ugundue nnNgojaa nikufatiliee mpaka mwisho





.....
Hahahaha, Mkuu mengine tunamalizana chemba na Shangazi yenu
Hahahaha, karibu Sana Mamii yangu ,wajomba zako walikuulizia sana

Hahahaa
Asanteee ...anatuchoshaaa bureeeAnko leo ni weekend acha kuandika mambo marefu!!
Kabisa mkuu!![]()
Hahahaha, huwezi kujua yote MkuuChembaa wapiii mjombaaa.....
Kumbe unamjuaUkiona hivi ujue shangazi bia zimeshafika mahala pake!![]()

Ndooo hapoo mwishowe unatongozaa madumeee ya instagram .......karibu jukwaani, wananiita Obe, una namba ya simu au email? Anko wangu yuko kwenye kitengo cha sensa
Namjua vizuri sana,halafu siku ya kwenda kunywa huwa anavaa lile gauni lake la chuichui!Kumbe unamjua![]()
![]()
![]()


