Makapuku Forum

Makapuku Forum

Karibuuu ...ilaa marybaby mcute /handsome wa binamu hujammis
NawamissSanaWatuNduguWaHumu!KiukweliNauheshimuSanaUwepoWenu!
NawamissSanaWatuNduguWaHumu!KiukweliNauheshimuSanaUwepoWenu!
NawamissSanaWatuNduguWaHumu!KiukweliNauheshimuSanaUwepoWenu!
NawamissSanaWatuNduguWaHumu!KiukweliNauheshimuSanaUwepoWenu!
NawamissSanaWatuNduguWaHumu!KiukweliNauheshimuSanaUwepoWenu!
NawamissSanaWatuNduguWaHumu!KiukweliNauheshimuSanaUwepoWenu!
NawamissSanaWatuNduguWaHumu!KiukweliNauheshimuSanaUwepoWenu!
 
...anko, basi haya mambo yaishe, na wewe mjomba wangu huna dogo!! Kule juu nilikuwa natania tu si unajua leo furahiday, halafu simu sikuwa nayo mimi. Ninaichaji kwa huyu muuza chipsi nimekuja kulipa lile deni ulilomwambia Mwajei ale utalipa.
Halafu mama Mchungaji anakusalimia sana, anasema umekuwa adimu siku hizi, nikamwambia umekuja Mtwara kwenye fiesta
kujitetea unajua Binamu
 

...kampeni ya kijinga kabisa hii, kushikana mikono wakati wa salamu ni jambo linaloashiria amani, urafiki na kutojitenga. Busu la shavuni ukutane na yule demu wa anko kajipiga mafuriko ya lipstick si utatafuta talaka bila kupenda. Mimi ninasalimiana kwa kushikana mikono, kampeni ya kunawa mikono ndo muhimu bakteria tunaishi nao, tunapanda daladala wamejaa kwenye viti, hebu twende zaidi ya kampeni hizi, walete maji salama kwa kila mtu ndo waje na upuuzi huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom