Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahaa
.....binamu niliambiwa na mganga kwa kuwa natarajia kupata hela za mkupuo basi nimtafute Wema ili azibariki kabla sijaanza kuzitumia na baby Mary wangu.

Wala simtafuti kwa nia mbaya, nataka tu niwe kama Watanzania wengine wenye bahati maana Jokate ndo hivyo ndo kumpata labda nitangaze kujitolea kubeba zege huko kisarawe sijui mkuranga
 
Hauzimiiiiiiiiiiiiiiiii motooooooo hauzimiiiiiiiiiiiiiiii uwakeeeeeee motoooooo washaaaaaa motooooo hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiii
tapatalk_1534529665683.gif
 
Mama mchungajii kaniitaa sasa sijajuaa umepuyangaaa nn

...anko, basi haya mambo yaishe, na wewe mjomba wangu huna dogo!! Kule juu nilikuwa natania tu si unajua leo furahiday, halafu simu sikuwa nayo mimi. Ninaichaji kwa huyu muuza chipsi nimekuja kulipa lile deni ulilomwambia Mwajei ale utalipa.
Halafu mama Mchungaji anakusalimia sana, anasema umekuwa adimu siku hizi, nikamwambia umekuja Mtwara kwenye fiesta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom