Hahaha mm sio mhaya shunieBaba wawili njo unijibie hapa
Tumeisha lalaAmeisha lala
Hahahaha, shangazi yako yuko vzr,ndio maana nikamchaguaWaga unaakili nyingi sana!
Glory be to God!
Ni kweli mkuu nimeusoma nikapita kimya kuna vitu sio lazima uanzishe thread ukizingatia ni mtu wao walikuwa wanajuana wangemalizana uko nje ya jf
Khaaaa
Kumbeeee kwahiyo binamu ameshalipwa mahela yake ya korosho
Dada huyoooo
Hahahhaha mnamtetea binamu yenu
ndio maana nimwkuheshimu sababu hao ni watu wako lkn ukajipambanua....
wanawake wawe na akili vinginevyo wataendelea kuumizwa, unakumbuka sekeseke la Ngabu?, wangapi walilia?
sababu waijua?
ni haya haya ya mikumbo.
huyo raia aliyeaibishwa unajua aliko anawaza kuwafanyia nini?
heshima kwako Shunie
nisamehe kwa kukuvamia![]()
Huu ni ulafi sasa, unataka makopa ya moneytalk na sasa unataka makopa ya rafiki yangu marrybaby!!




lakini sihaomba chura yake ambayo umeigharamikiaa
Usiku mwema wadau.
HahahahaShunie maneno gani haya jamani,
Mi ntajitia kitanzi kabisa