Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni kweli mkuu nimeusoma nikapita kimya kuna vitu sio lazima uanzishe thread ukizingatia ni mtu wao walikuwa wanajuana wangemalizana uko nje ya jf
ndio maana nimwkuheshimu sababu hao ni watu wako lkn ukajipambanua....
wanawake wawe na akili vinginevyo wataendelea kuumizwa, unakumbuka sekeseke la Ngabu?, wangapi walilia?
sababu waijua?
ni haya haya ya mikumbo.
huyo raia aliyeaibishwa unajua aliko anawaza kuwafanyia nini?
heshima kwako Shunie
nisamehe kwa kukuvamia
 
ndio maana nimwkuheshimu sababu hao ni watu wako lkn ukajipambanua....
wanawake wawe na akili vinginevyo wataendelea kuumizwa, unakumbuka sekeseke la Ngabu?, wangapi walilia?
sababu waijua?
ni haya haya ya mikumbo.
huyo raia aliyeaibishwa unajua aliko anawaza kuwafanyia nini?
heshima kwako Shunie
nisamehe kwa kukuvamia
Usijali kaka angu wala haujanivamia kabisa kweli kabisa hatujui mkaka wa watu anawaza vipii uko ili alipize kisasi hatujui ameumia vipiii ukiangalia watu wako wa karibu wamekugeuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom