Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
Nimeamka poa jamani za wwAsanteee...umeamkaa poa lakini ?
Nimeamka poa jamani za wwAsanteee...umeamkaa poa lakini ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shangazi bhanaKumjali gani uko kumzuia shangazi yake asiliwe
Ungeendelea kufichama tule elfu nane hapaHata sijui naanzia wapi wazima lakiniii nawasalimia tu mm
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwani mama kule umeshaachika au
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] vipiiii chinaaaNimeamka poa jamani za ww
WamejikomboaHaya jamani naona mmetekwa
Bwanaaa[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] vipiiii chinaaa
Wameshaachiwa eeenhWamejikomboa
Nimeuliza tu mm[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwahiyo mm nafanana wa elf 8 eenhUngeendelea kufichama tule elfu nane hapa
Makubwa haya woiiiiiWajomba zako hawajambo nko busy nawatafutia mdogo wao[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Au na we baba wawili unataka kumzuia shangazi asikulwe jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shangazi bhana
Bwanaaa
Ebu subiri uko si nitakutumia picha jamani mbona hivi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi sitaki shangazi yangu aliwe![emoji19][emoji19][emoji19]
Wanakwaya, novida?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]...aisee, kumbe walokole ni walevi hivi, wanakunywa novida wanalewa halafu hatuambiani!!! Hii sio haki kabisa, hebu nielekeze hilo kanisa niende fasa, na kama kuna mkesha na wanakwaya wapo