Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Nimeamka poa jamani za wwAsanteee...umeamkaa poa lakini ?
Nimeamka poa jamani za wwAsanteee...umeamkaa poa lakini ?
Wajomba zako hawajambo nko busy nawatafutia mdogo wao

Ungeendelea kufichama tule elfu nane hapaHata sijui naanzia wapi wazima lakiniii nawasalimia tu mm
WamejikomboaHaya jamani naona mmetekwa
Bwanaaavipiiii chinaaa
Wameshaachiwa eeenhWamejikomboa
Nimeuliza tu mm
Kwahiyo mm nafanana wa elf 8 eenhUngeendelea kufichama tule elfu nane hapa
Makubwa haya woiiiiiWajomba zako hawajambo nko busy nawatafutia mdogo wao![]()
![]()
![]()
![]()
Au na we baba wawili unataka kumzuia shangazi asikulwe jamanishangazi bhana
Bwanaaa
Ebu subiri uko si nitakutumia picha jamani mbona hivi
Wanakwaya, novida?...aisee, kumbe walokole ni walevi hivi, wanakunywa novida wanalewa halafu hatuambiani!!! Hii sio haki kabisa, hebu nielekeze hilo kanisa niende fasa, na kama kuna mkesha na wanakwaya wapo
