Prince az
JF-Expert Member
- Sep 27, 2018
- 1,223
- 1,570
Unazingua prince![]()
kwanini
Unazingua prince![]()
Monday tena?? , kesho unaenda wapi mkuu?
Wewe humu unalalamika ooh sijui kuchat nn hakuna wa kuchat naeMambo ni moto
Kumjali gani uko kumzuia shangazi yake asiliweanamjari shangazi yake
Kwahiyo mlikesha eenhKutuletea je wajua mida hii ni vishawishi vya kutufanya tusilale!!
Asanteee...umeamkaa poa lakini ?Amka na magazeti na makapuku
Hivi kwelii uliwazaa nini kuleta mambo ya siliasi kwenye mida ya binamu ashakunywa zake balimi extra lagerKwahiyo mlikesha eenh
halafu muafi utakuwa mlokole
Baba paroko woyoooooUmepata![]()