Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shangaz Shunie Leo kaelekea wapi mbona namtafta simuoni
Shangazi ametekwa mkuu!
Mie pia namtafuta wallah sijampata,nadhani ndio mambo ya wikiendi mjomba kabambia
Katekwa na nani msitake Mimi nikajiua jaman
Na mjomba
Kwan una mkataba nae
Duh apatikane kabla ya kesho aisee
Naweka dau la elfu nane kwa yoyote atakae toa taarifa zitakazosaidia kupatkana kwa Shunie
We baba elf 8 mbona ndogo sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom