Mi nna nia njema kbs..na we ndio unataka nikose za koroshojapo mbahili hatari..sijui tumteke,?
Hiviiii ushaletewaaa au manyoyaaa ?Nimesahau mm kwa nn nikudanganye
Tukooo pamojaaa kwenyew mahesabu...sijalipwa bado anko, wanatuhakiki kwanza, kuna wakulima feki na hawana vyeti kwa hiyo wanatafutwa wapunguzwe, sisi tuliofaulu hatuna shida ila ndo wanatuchelewesha
ila mida hii ndiyo unakuwa more active eeehhhh!!...binamu, nilikuwepo sana humu, sema nilisahau pasiwedi ya kucomment ndo nikawa najisomea tu sina namna.
![]()
Hiiiiiii naonaaa binamuu unaletaaa wivuu wa mama mchungajii...mabusu bila mate (denda) ni kama kupiga miluzi tu
Kumbe unataka ufundishwe kikongoman binamu,hukusema mapema sasa
Kutuletea je wajua mida hii ni vishawishi vya kutufanya tusilale!!Je wajua inakujia punde na shunie shunie shangazi yao watu
Alafu mimi ndo nilikua ktk bus hilo eti,?![]()
![]()
China liniiKutuletea je wajua mida hii ni vishawishi vya kutufanya tusilale!!
Ameshalala mkuu hii mida yako hii siyo kabisa!!marybaby nakusalimia sana na kukutakia kumbatio zuri na makiss ya kumwaga ukiamka (kama umelala sasa hivi)
Ameshalala mkuu hii mida yako hii siyo kabisa!!
Kumbe ndio yalikuwa mahesabu yako hayo,,hatukujua aisee,, mtt fulu kuongelea manoti tu...nilikuwa sijajua kama nitalipwa hela ya korosho, sasa kicongo ninakitaka maana nimeshaongea na rapa wa Mashujaa band atakuwa ananirusha kila wimbo, akinitaja mara moja anapata buku bee, akichombeza na sifa za kunipamba basi anakula mwekundu wa msimbazi haraka sana

Kutuletea je wajua mida hii ni vishawishi vya kutufanya tusilale!!
Ebu baba wawili shangaa jamani mtu anamzuia shangazi yake kukulwa



anamjari shangazi yakeMonday tena?? , kesho unaenda wapi mkuu?..sure, nimeshangaa sana maana mambo magumu magumu wikend haipendezi. Anyway, nitafuatilia kwa ukaribu monday