Binamuuuu kipenziiiiiii mtoto wa dada ...nafurahii kukuonaaa
Ya walokole
Asante Mungu jamani kwa kufatiliwa bila kujijuaNilikua nakufatilia mienendo yako kimyakimya
Nimesahau mm kwa nn nikudanganyeUmesahauu kweliii![]()
Naingiaa keshoo kutwaa
Ebu baba wawili shangaa jamani mtu anamzuia shangazi yake kukulwa
Thanks and u tooGoodnyt
Ya walokole
..novida ni nini? Bia mpya?




halafu muafi utakuwa mlokole
Sasa mbona binamu anaswekaa ndani burw na hawadumu
Wewe unataka kunikoseshaa bia za mjomba nake jana nasikia kalipwa korosho ila hapatikanii
Leo siku ganiii...na mimi anko kipenzi nimekuona na asante sana kwa ushauri wako, nimeuzingatia sana, Hii busara uliyonipa hadi nashangaa inakuwaje huwa unafumaniwa sasa au ndo mganga hajigangi