Makapuku Forum

Makapuku Forum

3.Nyumbani Kwako kutakuwa kijalala Kidogo
Watoto wanapenda michezo mingi sana! Usitegemee kukuta sebule yako ni safi muda wote kama ulivyozoea, usifikirie kwamba atavijali vitu vyako kama unavyojali wewe.








4. Simu/ Computer yako itakuwa ya mwanao.
Licha ya juhudi zote jua ya kwamba watoto watagusa simu, au computer yako tu! Watapenda kuwa na wewe, kufanya kazi kama wewe, na kutumia vitu vyako. Hakikisha vitu vilivyo kwenye simu, au computer yako vinamfaa, na hakuna ubaya akiona.


...anko wangu sasa 😀😀😀😀😀, simu yake passiwedi ndefu utafikiri reli, inakonakona utasema mto malagarasi, ina nukta na viulizo vya kutosha. Ila ni sawa maana mtoto wake ambaye bahati mbaya mimi ananiita bulaza akiiona yaliyomo kwenye simu ni bora angebemendwa. utapenda mtu anayekuita bulaza au sisteri abemende na simu ya mdingi wake wemye tabia kama za anko wangu Lyon Lee
 
5.Utaanza Kujiona na kuona Makosa uliyoyafanya ukiwa mdogo, utaijua thamani yako na ya wazazi wako ambao pengine hawatakuwepio.




6.Hutaweza tena Kutumia fedha kwa ajili yako mwenyewe kwani utaona kila fedha unayotumia, ungeweza kutumia na familia nzima. Na utajisikia raha zaidi kumnunulia mwanao kitu zaidi ya kujinunulia wewe mwenyewe.


Duh, sijui niandike nini mdau kuonesha nimeguswa sana na makala yako ya leo, hata za siku nyingine huwa ni nzuri sema hii ni very personal yaani sio kama vile visingizio vya kuvuta bange, sijui pombe na mambo mengine ya kiadventista
 
Binamu Obe panakuhusu hapa

...ni kweli pananihusu hapa ndugu yangu wewe, kwanini na ninafurahi umenihusisha hapa ni kwa sababu inakadiriwa wavutaji sigara Tz wako kama milioni 4 watoe wale vijogoo vya form two. Hawa huvuta pakiti milioni 81 za sigara kwa mwaka na kuliingizia taifa bilioni 38 na kumbuka hizi ni takwimu za mwaka 2015 na usiwasahau ndugu zetu zaidi ya elfu 70 wa mikoa ya Tabora, Iringa na Moro kutaja michache walioajiriwa kwenye kilimo cha tumbaku na viwanda vya sigara.

Asante kwa kuniita hapa, na kuhusu hasira, watu wasiokunywa pombe, wala kuvuta sigara wana hasira sana, sijui kwanini
 
Shunie unahangaika korosho nitakuletea.

..wewe unatokea Mtwara? Lindi, Mkuranga au Rufiji? Una uhakika korosha unazotaka kumletea aunt yangu zina ubora unaokubalika kimataifa? sio umletee korosho zinanuka sigara na tumbaku au zinanuka mchaichai
 
Anko kampangishiaa apartment
,,,na tena anakaa kwa raha sana, kuna apartment moja kule Ngudu kodi ni elfu 27 mia tano kwa mwezi. na ukipanda lazima kama ni mwanamke uwe umevaa kyupi
2757991_img20150818185733_jpeg14044f02e3dc5d06b0d358decfbeab1a
 
Ww wasema gogo limesingiziwa kitu nikilala mpaka nigeuzwe na huu ubonge sasa nafwaa

...yaani ukilala unakuwa kama moja, umenyooka bora gogo lina vinundunundu.

Hivi mnaongelea nini, mjue kukata magogo hakuruhusiwi hasa ukiwa safarini maporini na magogo ya mbao yanasababisha ukataji wa miti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom