Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Niko na anko hapa eti anawasiwasii na kazi za asili za usiku .. anko bwana eti unageukaa kama gogo
...duh, ushabadilisha maneno sasa anko, me nilisema labda hajui kwa sababu ni M-gogo wewe ndo ukaendeleza kwamba yeye anatuliaga tu kama gogo.