Makapuku Forum

Makapuku Forum

WAJUA NINI HUTOKEA BAADA YA KUACHA KUVUTA SIGARA? TAZAMA HATUA HIZI KUMI

Unafikiria kuacha sigara? ….Yees! wazo zuri. Kwanini? Kwa sababu utaanza kuona faida za kuacha kuvuta sigara ndani ya dakika ishirini tu baada ya kuacha! Wajua inachukua muda gani mpaka kiasi cha nicotine kutoka mwilini mwako? Soma haya…

1.Dakika ishirini (20) tu, baada ya kuacha kuvuta sigara mapigo yako ya moyo huanza kurudi katika hali ya kawaida

2. Masaa mawili baada ya kuacha kuvuta sigara, mzunguko wako wa damu hurudi katika hali ya kawaida. Kiwango cha nicotine hushuka mpaka asilimia 6.2



3. Wajua wavuta sigara wana hasira za haraka? Baada tu ya masaa 24 yaani siku moja baada ya kuacha sigara, mvutaji hujisikia mwenye amani na akikaa hivyo kwa wiki moja zaidi hujisikia katika hali bora zaidi.
Binamu Obe panakuhusu hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom