Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Napenda mishkaki ya pale round about sijui panaitwaje mishkaki ya mia mia sijui sasa hivi imepanda beimji kasoro bwawa!.
Rafiki wewe ni kiranja wa hapa?
![]()
![]()
![]()
mm ni mlinzi mkuu
marhabaaa shemela kama sio leo basi kesho nitaokota hela 😀😀
mambo vp shemela
Binamu kila siku wimbo huu huu kuhusu korosho...ngoja zikauke, nizibangue, nikuletee na vocha (stakabadhi ghalani) ufaide maana wewe ni bahati mbaya sana uko ndugu yangu
...ni kweli pananihusu hapa ndugu yangu wewe, kwanini na ninafurahi umenihusisha hapa ni kwa sababu inakadiriwa wavutaji sigara Tz wako kama milioni 4 watoe wale vijogoo vya form two. Hawa huvuta pakiti milioni 81 za sigara kwa mwaka na kuliingizia taifa bilioni 38 na kumbuka hizi ni takwimu za mwaka 2015 na usiwasahau ndugu zetu zaidi ya elfu 70 wa mikoa ya Tabora, Iringa na Moro kutaja michache walioajiriwa kwenye kilimo cha tumbaku na viwanda vya sigara.
Asante kwa kuniita hapa, na kuhusu hasira, watu wasiokunywa pombe, wala kuvuta sigara wana hasira sana, sijui kwanini
Acha tu kapwil yaan nazipenda mm kila siku binamu ananidanganya ananileteaAtazipata tu bosi hakuna sida hata kwa nji a ya posta.naona ana hamu na korosho mpaka huruma.




jamani anapandaje hapo
,,,na tena anakaa kwa raha sana, kuna apartment moja kule Ngudu kodi ni elfu 27 mia tano kwa mwezi. na ukipanda lazima kama ni mwanamke uwe umevaa kyupi
![]()
Kwani binamu ww umeelewaje...yaani ukilala unakuwa kama moja, umenyooka bora gogo lina vinundunundu.
Hivi mnaongelea nini, mjue kukata magogo hakuruhusiwi hasa ukiwa safarini maporini na magogo ya mbao yanasababisha ukataji wa miti
Nipo binamu, naangalia mpira hapa maana timu yangu huu mpira inaocheza bia inashuka kilulaini, sio kama mashabiki wa Man u siku hizi wakiwa wanaangalia mpira wanakunywa safari lager
Asante mrs info...hope umeamkaa salamaJe wajua inakujia hivi punde na shunie shunie