Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Kwahiyo mwenyewe unajiona bonge hapo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kwa hyo mm kimbaumbau
Kwahiyo mwenyewe unajiona bonge hapo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kwa hyo mm kimbaumbau
Kaka ako labdaLabda nilishawahi mwambia ujue haiwezekani aniulize hilo swali na ameshaona nimemjibu hapo T sasa sijui ninayelala nae na kuamka nae ni nani

Yy anataka wenye chura tu
Asante Kapwil na kwako piaOK mchana mwema.
Inawezekana etiKaka ako labda![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Halijui hilo kama humu hakuna mwenye churaHumu hawapo sasa![]()
![]()
![]()
Shunie unahangaika korosho nitakuletea.Anihurumie tu aniletee korosho zangu jamani
Tumosa si yupoJe wajua sijawahi kupata chura hadi leo!
Rafiki kesho nipe list ya majina ya watundu wote kwenye hii forum niwashughulikie!Nilishawahi kukwambia mkuu na shida ya mwanaume mpaka uniulize hilo swali
Dada yuko wapi??Kwa nn jamani ukiona hivyo watu hawana chura wanakuogopa
Baada ya unoko wako nimemzabua sana kwenye gari!.. Saa hii hana hamu na vyumba!.Nilitekwaa lakini nyumbani nilikuwa nakusubiriaa unuse pua nizibabuee au ndo wewe ulikuwa unamleta dada akidaii ni uber make na hawa uber wametuleteaa kasheshe ...yaaan mke analetwa na mchepuko ukiuliza anakwambia uber
Wenzako wanaonga laki kwa vocha per day wewe unawaza buku jero la uni...mbunye utaisoma kwenye vibao vya matangazoBaada ya unoko wako nimemzabua sana kwenye gari!.. Saa hii hana hamu na vyumba!.
Uber nao hivi sasa tumejaa kahela kadogo, nna mpango kumnunulia line ya chuo, awe anajiunga UniV ofa!.