Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,121
- 1,249,292
Nipo hapa kusema kuwa hatujui kila kitu. lakini kile kidogo ambacho tunakijua ndicho tunachokupa wewe. kwa hio usijikatae katika maisha yako. jikubali kwa kila kitu unachokifanya. kubali mawazo yako.
Utaweza kupata maana utakapo pata kwenye vitabu, kutoka kwa mtu, ndio , huenda ni moja ya makala ikakupa kitu kizuri na ukakifanyia kazi . huenda ndio hii ambayo najaribu kukuweka sawa sasa. ni sahihi , na ni nzuri, kusema kweli. kwa sababu tunachagua msukumo wakati tunapohitaji. tunachukua chenye sababu.
Lakini usitake kusema maisha yako yameharibika kwa sababu umekosana na mwenza wako, umeachwa, umeumizwa. hutakiwi kufikiria kuwa umeharibu maisha yako. badala yake tambua kuwa umejifunza, umepata uzoefu wa maisha. Hujaharibu maisha kwa sababu umecheza kwa usalama. hujaharibu maisha yako kwa sababu umechanua tofauti kuliko unavyoamini. hujaharibu maisha yako kwa sababu umekwisha kutatua.
Utaweza kupata maana utakapo pata kwenye vitabu, kutoka kwa mtu, ndio , huenda ni moja ya makala ikakupa kitu kizuri na ukakifanyia kazi . huenda ndio hii ambayo najaribu kukuweka sawa sasa. ni sahihi , na ni nzuri, kusema kweli. kwa sababu tunachagua msukumo wakati tunapohitaji. tunachukua chenye sababu.
Lakini usitake kusema maisha yako yameharibika kwa sababu umekosana na mwenza wako, umeachwa, umeumizwa. hutakiwi kufikiria kuwa umeharibu maisha yako. badala yake tambua kuwa umejifunza, umepata uzoefu wa maisha. Hujaharibu maisha kwa sababu umecheza kwa usalama. hujaharibu maisha yako kwa sababu umechanua tofauti kuliko unavyoamini. hujaharibu maisha yako kwa sababu umekwisha kutatua.

TUOMBE:
