Mikwara Ya Andunje
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 391
- 804
Inawezekanaje kweli nisiwe hata na boksa za kuvaa ?halafu usikute hana chochote
Inawezekanaje kweli nisiwe hata na boksa za kuvaa ?halafu usikute hana chochote
Wallah nimejisemea tu sizipendi mmUnapenda six packs eeh!!!
Na hutojuta maana nitakulipa shahara na posho zaidi ya wahudumu wa ATCL
Karibu Bunju kwenye hekalu langu week end upige kilaji
98% naamin unachokinena!





mm ananifurahishaga sana mikwara yake kila sehemu
Inawezekanaje kweli nisiwe hata na boksa za kuvaa ?






we mzee weweAmekuwa bob mikwara!!mm ananifurahishaga sana mikwara yake kila sehemu

Da'vinchi alikuja kupata dinner kwenye hekalu lako bunju kama ulivyosema??Na hutojuta maana nitakulipa shahara na posho zaidi ya wahudumu wa ATCL
Karibu Bunju kwenye hekalu langu week end upige kilaji
Da'vinchi alikuja kupata dinner kwenye hekalu lako bunju kama ulivyosema??
Nilitaka nishangae!!Wallah nimejisemea tu sizipendi mm
Shemela wangu endelea kujivutia tu kumbe haina madhara cc shululu Makaveli ObeView attachment 858825

Ukose hata mbupu!!?Inawezekanaje kweli nisiwe hata na boksa za kuvaa ?

InawezekanaWatakuwa ndugu![]()
ShikamooTusalimie nairobi
We hutaki churaMama wa watoto watatu amefariki katika kliniki moja nchini Uturuki alikoenda kufanyiwa upasuaji wa kuongeza makalio "Brazilian butt lift"
Cardi B Mwanamuziki aliyeweka wazi kwamba kabla ya kuingia katika fani ya muziki aliongezewa makalio huko mjini New York na kifaa alichowekewa ndani kilivuja kwa siku tano baadaye.
Je wanawake wanapuuza athari ya upasuaji huu ?
Kazi wanayo wasiojikubali na maumbo yao najipenda nilivyo mm niwe na chura nisiwe nayo kama mume ninaye nitake nn shunie mm
View attachment 858910

Hivyo hivyo bwana mm nakupenda tu T the Don urudi tulewe zetu Heineken majuzi nililewa mm sijui Heineken 9 sijui 10 mpaka nilikuwa nagombana na dereva wangu wa bajaji alinifata ananiambia lasivyo nakuacha beba beer zilizobaki tuondoke imebidi nijibebee beer mbili zilibaki

Shikamoo
Nilitaka nishangae!!
Mie beach sitafuti six packs wala nini pumzi tu hata za kukimbia km 7 bila kusimama, hata watoto wadogo wakikuvuruga unawatia adabu,
mara nyingi hasa nikiwa na muda kama hivi huwa naenda kucheza soka la ufukweni