Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
We Dada una kichaa
Sijamkubali mmKasema umemkubalie eti
Sawa mama D.
Hakuna shida.
Hahahaa! Umenza sasa..Woyoooooo T the Don ndio mana nakupenda mm shem wangu

Hahahaa! Umenza sasa..
Mimi ni mtoto wa mkulima wa mzee Sharubukuwasha![]()
Aiseee! Polee sana..!Hivyo hivyo bwana mm nakupenda tu T the Don urudi tulewe zetu Heineken majuzi nililewa mm sijui Heineken 9 sijui 10 mpaka nilikuwa nagombana na dereva wangu wa bajaji alinifata ananiambia lasivyo nakuacha beba beer zilizobaki tuondoke imebidi nijibebee beer mbili zilibaki
Hahhahhaha T bwanaAiseee! Polee sana..!
Ambao pressure zilipanda na kulazwa hospitali je??Idara ya Maafa imesema hakuna tishio la tsunami katika Bahari ya Hindi na kwamba taarifa inayosambazwa si ya kweli.
Mkurugenzi wa idara hiyo amesema, taarifa za tsunami zinapotolewa wananchi hawachukulii uzito, hivyo leo walilenga kuangalia wananchi watalichukuliaje tishio hilo.View attachment 858921
HahahhahaAmbao pressure zilipanda na kulazwa hospitali je??
Safi chief, inakuwaje bandugu?What's up dude!
Mie najua hayo, nasiiachi ng'ooo.Shemela wangu endelea kujivutia tu kumbe haina madhara cc shululu Makaveli ObeView attachment 858825
Atakaeweza kuizamisha kwa mwenzie ndio dume huyo.Nawaza tu hapa akikutana fisi dume nani sijui anaonekana kidumeView attachment 858803
Naona leo umeamua kutembelea fahamu zaidi shunie akee..Je wajua au unataka nikujuze zaidi kuwa nami shunie shunie
Angalia usije angusha gari, vijana hawana maana.. Kuja kuamka asubuhi watu wamevunja mayai km trei tatu vile.Hivyo hivyo bwana mm nakupenda tu T the Don urudi tulewe zetu Heineken majuzi nililewa mm sijui Heineken 9 sijui 10 mpaka nilikuwa nagombana na dereva wangu wa bajaji alinifata ananiambia lasivyo nakuacha beba beer zilizobaki tuondoke imebidi nijibebee beer mbili zilibaki
