Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kojoooo jamani kojoooooo maka akee nataka kukojoa mm. [emoji23][emoji23][emoji23]🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸
Kojoa tu bibie, mie ndio raha yangu hiyo shunie akee!!
 
Kampuni ya Apple sasa hivi ina thamani ya zaidi ya dola trilioni 1 (Tshs. 2,281,000,000,000,000) ambapo imekuwa ndiyo kampuni ya kwanza Duniani kuwa na thamani kubwa ikifuatiwa na Microsoft, Google, na Amazon ambazo zote kwa sasa zina thamani ya zaidi ya dola milioni 800.

View attachment 859226

Asante aunt yangu mwenyewe, wiki hii Amazon naye kaingia kwenye kundi hili, yaani ni ndani ya siku kama 15 tu amazon kamfuata Apple.
Kumbuka Amazon ni mtoto mdogo sana kwa Apple ila ndo hivyo, Apple kaingia anatembea Amazon kamfuata kwa mbio
 
Back
Top Bottom