eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Kwanza mie protin sipendagi![]()
![]()
hizi dalili za kumkwepa huyu mduduKwanza mie protin sipendagi![]()
![]()
hizi dalili za kumkwepa huyu mduduHivi zile konyagi hazijaisha kichwanikojoooo jamani kojoooooo maka akee nataka kukojoa mm.
🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸
Ningeweza kunywa konyagi mbona ningechizikaHivi zile konyagi hazijaisha kichwani
Mie mende nampendea kifo chake tu, ila sio protini zakehizi dalili za kumkwepa huyu mdudu

Mie niko radhi nipate upungufu wa protini mwilini, sio kwa kumla braza mende.Acha nisipate hizo protin
Watajijua na ujana wao, sie ujana tushaumaliza tuna uleo.Hayo mambo niwaachie vijana
Kojoa tu bibie, mie ndio raha yangu hiyo shunie akee!!kojoooo jamani kojoooooo maka akee nataka kukojoa mm.
🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸
Mimi 300,000/= nanunua kwa litaEbu ongeza ongeza tena mahela nikuuuzie mie
Hapo tu umechizika sijui ingekuaje kwa kweliNingeweza kunywa konyagi mbona ningechizika
Kwa hiyo nyinyi ni wazee au wazee wa kifo cha mendeWatajijua na ujana wao, sie ujana tushaumaliza tuna uleo.
Sio wazee ila ujana tushamaliza.Kwa hiyo nyinyi ni wazee au wazee wa kifo cha mende
Kampuni ya Apple sasa hivi ina thamani ya zaidi ya dola trilioni 1 (Tshs. 2,281,000,000,000,000) ambapo imekuwa ndiyo kampuni ya kwanza Duniani kuwa na thamani kubwa ikifuatiwa na Microsoft, Google, na Amazon ambazo zote kwa sasa zina thamani ya zaidi ya dola milioni 800.
View attachment 859226
Shkamooo
Wazima, sijui wewe..Wazimaaa!
Mzima piaWazima, sijui wewe..