Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwenye jiji la San Fransisco nchini Marekani unaweza ukalipwa dola 21,250 (milioni 48 za kitanzania) / mwezi kwa kufanya kazi ya kuondoa vinyesi kwenye mitaa ya jiji hilo.

Jiji la San Fransisco kwa sasa linakabiliwa na uchafuzi mkubwa wa mazingira kutokana na watu kujisaidia hovyo kwenye njia za watembea kwa miguu na inaripotiwa tangu mwaka huu uanze zaidi ya watu 15,000 wametoa malalamiko ya kukutana na vinyesi kwenye mitaa ya jiji hilo ambapo imepelekea meya wake kuunda timu ya watu sita inayofahamika kama 'Poop Patrol' ambao wao kazi yao itakuwa ni kuondoa vinyesi mitaani kwa mshahara wa dola 21,250 (milioni 48 za kitanzania) View attachment 859043
Ahsante!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom