makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,594
Hahaa!! Sina udugu nae.wewe si ndg yake tekno
Hahaa!! Sina udugu nae.wewe si ndg yake tekno
Yale yale ya beach!Mazoezi yapi hayo
Andunje una mikwara kichizi!!Makapuku naombeni msaada natafuta helikopta nzuri inayoweza kuruka umbali mrefu
Pia isiyo na kelele kama hii ya sasa.......ukinisaidia kuipata unalamba Milioni 1 fasta
Shemela
,,,nimeshamjibu, ajiangalie sana wiki bado mbichi kabisa hii asikuharibie, kwani kakuona umvaa gagulo, nyanyapensi, chupi ya resiresi na vitenge vya malawi? Akuache

Makapuku naombeni msaada natafuta helikopta nzuri inayoweza kuruka umbali mrefu
Pia isiyo na kelele kama hii ya sasa.......ukinisaidia kuipata unalamba Milioni 1 fasta
Karibu!!
Yale yale ya beach!
Mimi na wewe tena!!!Woyooooooooo imetoka moyoni kabisa eenh
Unapenda six packs eeh!!!Unitumiege na picha basi nikuone na six pack
...kweli bhana, eti utashangaa tu mtu hata ijumaa shikamoo anko, huwa nakaa kimya kama sisikii vile

98% naamin unachokinena!halafu usikute hana chochote
Na hutojuta maana nitakulipa mshahara na posho zaidi ya wahudumu wa ATCLUkipata hiyo helikopta mm nitakuwa muhudumu wako