Ngoja niishie hapa hapa...manake Tumosa anaweta akaotesha ndizi za mbeya kichwani kwangu..![]()

Amen..Baba namkabidhi slim mikononi mwako mponye na magonjwa yanayomuandama mponye na roho ya ugonjwa muimalishe afya yake irudi kama mwanzo
Naomba katika jina lako na roho mtakatifu Ameen
Mama la mama..
Baba namkabidhi slim mikononi mwako mponye na magonjwa yanayomuandama mponye na roho ya ugonjwa muimalishe afya yake irudi kama mwanzo
Naomba katika jina lako na roho mtakatifu Ameen

101-03-821.M|T|CPouwa karibu mkuuHabari makapukuz
Habari makapukuz
Nko hapa shemelaMama la mama..
Shikamoo mzee wa ugimbiMko wapi ?ijumaa hii ( msiniambie mko hapa makapuku )
101-03-821.M|T|C
Marhabaaaaaaa hujambo totoShikamoo mkuu
Sijambo dadaMarhabaaaaaaa hujambo toto
Hahaha, nilitegemea hili jibu toka kwako,eti Mzee wa ugimbiShikamoo mzee wa ugimbi
Tuko hapahapa makapuku mkuu
101-03-821.M|T|CKaniletee maji ya kunywaSijambo dada