Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tuzidishe busara zetu katika Matumizi ya Maji!
Makadirio ni kwamba 71% ya dunia imejaa MaJI, na yapata 95% ya Maji ya dunia ni Maji ya Bahari.
  1. Watu 780 million Duniani kote wanaishi pasi na maji safi ya kunywa!
  2. Barani Afrika Zaidi ya theluthi moja ya watu hawana huduma ya Maji safi na salama!
  3. Kati ya 25-33% ya Wachina hawapati Maji safi na salama!
  4. Magonjwa yanayosababishwa na Ukosefu wa Maji safi na salama Duniani yanaua watoto wa wa umri wa chini ya miaka mi5 kuliko maradhi kama Malaria na HIV kwa pamoja.
  5. Kwa wastani, barani Afrika Mwanamke hutembea 3.7 km kusaka Maji kwa ajili ya familia!
  6. Mmarekani wa kawaida anatumia dk 5 za kujimwagia Maji bafuni, hiki ni kiasi kikubwa Zaidi cha Maji kuliko Kiasi ambacho Mtu wa kawaida anatumia katika Nchi zinazoendelea hasa za afrika.
  7. Zaidi ya watu 130 million wa Latin America hawapati huduma ya maji safi na salama ya kunywa!
  8. Akiba ya Maji nchini Marekani katika Lake Mead inatarajiwa kuishiwa ifikapo 2021, kama hili litatokea, watu 22 million watahitaji chanzo kipya cha Maji!
  9. Pia 97.5% ya Maji ya dunia, ni ya Chumvi!
  10. Katika kipindi cha miaka 10 iliyopita, maradhi ya kuhara yameua watoto wengi Zaidi kuliko wale waliokufa katika vita vyote vilivyotokea baada ya vita ya dunia ya 2!
  11. Watu wapatao 27% wanaoishi miji mikubwa duniani hawana maji ya bomba majumbani!
  12. Katika harakati za Kutafuta Maji, wanawake wamejiweka katika hatari kubwa ya kukumbana na manyanyaso ya kingono!
  13. Barani AAfrika, katika kila $1 inayotumika katika kusaidia upatikanaji wa Maji, inaokoa muda wenye thamani ya $9!
  14. Katika Sub-Saharan Africa, asilimia 72 ya Maji yanayotumika Majumbani ni matokeo ya juhudi za Mwanamke!
  15. Zaidi ya nusu ya shule za Msingi katika Nchi zinazoendelea, hazina mifumo sahihi ya upatikanaji wa Maji!
  16. Watu wa “uswazi” katika maeneo yote ya dunia, wanatumia mara 5-10 ya Gharama za kupata Maji kuliko watu wenye nazo!
  17. India ina Asilimia 16 ya watu wote wa Dunia hii, Cha kushangaza India ina 4% ya Maji safi!
  18. Pamoja na tatizo kubwa la Maji, Afrika ina MAZIWA yapatayo 677! Afrika ina mito mikubwa 67!
  19. Nchini Afrika Kusini, watu kati ya 12-14 million hawana huduma ya maji safi na salama!
  20. Statistics South Africa katika report ya Mwaka 2016 inasomeka kuwa kaya 88.8% katika Afrika Kusini yote wamefikiwa na Maji ya Bomba Majumbani!
Mi nawatakia Mchana mwema!
 
1535105565758.png
 
Baba namkabidhi slim mikononi mwako mponye na magonjwa yanayomuandama mponye na roho ya ugonjwa muimalishe afya yake irudi kama mwanzo

Naomba katika jina lako na roho mtakatifu Ameen
Ameeeen..... fanya basi yale maombi.... au wewe unajua kuombea ya kitandani tu....!
 
Tuzidishe busara zetu katika Matumizi ya Maji!
Makadirio ni kwamba 71% ya dunia imejaa MaJI, na yapata 95% ya Maji ya dunia ni Maji ya Bahari.
  1. Watu 780 million Duniani kote wanaishi pasi na maji safi ya kunywa!
  2. Barani Afrika Zaidi ya theluthi moja ya watu hawana huduma ya Maji safi na salama!
  3. Kati ya 25-33% ya Wachina hawapati Maji safi na salama!
  4. Magonjwa yanayosababishwa na Ukosefu wa Maji safi na salama Duniani yanaua watoto wa wa umri wa chini ya miaka mi5 kuliko maradhi kama Malaria na HIV kwa pamoja.
  5. Kwa wastani, barani Afrika Mwanamke hutembea 3.7 km kusaka Maji kwa ajili ya familia!
  6. Mmarekani wa kawaida anatumia dk 5 za kujimwagia Maji bafuni, hiki ni kiasi kikubwa Zaidi cha Maji kuliko Kiasi ambacho Mtu wa kawaida anatumia katika Nchi zinazoendelea hasa za afrika.
  7. Zaidi ya watu 130 million wa Latin America hawapati huduma ya maji safi na salama ya kunywa!
  8. Akiba ya Maji nchini Marekani katika Lake Mead inatarajiwa kuishiwa ifikapo 2021, kama hili litatokea, watu 22 million watahitaji chanzo kipya cha Maji!
  9. Pia 97.5% ya Maji ya dunia, ni ya Chumvi!
  10. Katika kipindi cha miaka 10 iliyopita, maradhi ya kuhara yameua watoto wengi Zaidi kuliko wale waliokufa katika vita vyote vilivyotokea baada ya vita ya dunia ya 2!
  11. Watu wapatao 27% wanaoishi miji mikubwa duniani hawana maji ya bomba majumbani!
  12. Katika harakati za Kutafuta Maji, wanawake wamejiweka katika hatari kubwa ya kukumbana na manyanyaso ya kingono!
  13. Barani AAfrika, katika kila $1 inayotumika katika kusaidia upatikanaji wa Maji, inaokoa muda wenye thamani ya $9!
  14. Katika Sub-Saharan Africa, asilimia 72 ya Maji yanayotumika Majumbani ni matokeo ya juhudi za Mwanamke!
  15. Zaidi ya nusu ya shule za Msingi katika Nchi zinazoendelea, hazina mifumo sahihi ya upatikanaji wa Maji!
  16. Watu wa “uswazi” katika maeneo yote ya dunia, wanatumia mara 5-10 ya Gharama za kupata Maji kuliko watu wenye nazo!
  17. India ina Asilimia 16 ya watu wote wa Dunia hii, Cha kushangaza India ina 4% ya Maji safi!
  18. Pamoja na tatizo kubwa la Maji, Afrika ina MAZIWA yapatayo 677! Afrika ina mito mikubwa 67!
  19. Nchini Afrika Kusini, watu kati ya 12-14 million hawana huduma ya maji safi na salama!
  20. Statistics South Africa katika report ya Mwaka 2016 inasomeka kuwa kaya 88.8% katika Afrika Kusini yote wamefikiwa na Maji ya Bomba Majumbani!
Mi nawatakia Mchana mwema!
Asante slim mchana mwema na kwako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom