Makapuku Forum

Makapuku Forum

.
Screenshot_20180824-065848.jpg
Screenshot_20180824-065910.jpg
 
Septemba 8 Mwaka 2014 Troy Turner Alipoamka Asubuhi Alikuta Watoto wake Wawili Pamoja Na Mke Wake Catherine Hawapo Hali Ambayo Haikua Kawaida Sababu Hata Hakuagwa.

Lakini Catherine Alirudi Nyumbani Akiwa peke Yake Na Kusema Kawapeleka Watoto Katika Kituo Cha Kuhudumia na Kulea Watoto.

Alipochukuliwa Ili Kwenda Kuwachukua Watoto Catherine alianza Kumuonesha Sehemu Mbali Mbali Ambazo Anasema Kuwa Aliwaacha Watoto Huko Lakini Hawakuwepo.

Wakati Safari Inaendelea, Cathe Alimwambia Troy Asimamishe Gari, Ambapo Alitoka Nje Ya Gari, Na Kuanza Kuondoka Na Kutokomea Kusikojulikana Ambapo Hakuonekana Mpaka Siku Tatu Kupita.

Alipoonekana Alishikwa Na Kupelekwa Kituoni Kwaajili Ya Mahojiano Lakini Ilionesha Kuwa Cathe Tayari Kapata Na Ugonjwa Wa Akili.

Hivyo Alipelekwa Katika Hospitali Ya Wagonjwa wa Akili Ambapo Mpaka Sasa Yupo Huko, Na Hajawahi Kusema Watoto Aliwapeleka Wapi Zaidi Husema Tu Kuwa Watoto Wapo Sehemu Salama"
Screenshot_20180824-072037.jpeg
 
The Hills Have Eyes" Ni Filamu Inayohusu Tukio Ambalo Limewahi Kutokea Ukweli.

Kwa Takribani Miaka 25 Kuna Ukoo Uliotambulika Kwa Jina La "Bean" Ulikua Ukifanya Mauji Kwa Kuweka Mitego, Kuvamia Na Kisha Kuwala Watu Hao.

Walikua wakifanya Matukio Hayo Usiku, Na Kisha Kurudi Katika Mapango Yao Ambayo Ndiyo Yalikua Makazi Yao.

Walikuja Kukamatwa Hasa Baada Ya Kutaka Kumuua Kijana Mmoja Ambae Alikua Ni Balaa Katika Mapigano Ya Kutumia Silaha Za Vitu Vikali Kama Visu Na Mapanga.

Hivyo Badala Ya Kumgeuza Dogo Nyama, Wao Ndio Walijikuta Wakigeuzwa Nyama.

Walipoona Hali Sio Tena, Walianza Kukimbia Na kutaka Kupotea Kabisa Eneo Hilo, Lakini Walikuwa Wamechelewa Sababu Wanajeshi Walikua Wameshafika.

Walikamatwa Na Kuhukumia Kunyongwa Baadae.
Screenshot_20180824-072229.jpeg
 
Hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimoto hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
tapatalk_1534529665683.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom