Makapuku Forum

Makapuku Forum

Makubwa haya kwahiyo umetafsili hivyo woiiiiiii hapo nimekosea nilitakiwa niandike au loh binamu nitake radhi msagaji hapana aiseee dushe ilivyokua tamu ebu nijilalie mie mama angu nisamehe tu ni duduwasha hilo
Hakika ukweli imekua ngumu
 
Muziki: Heshimu Mazingira

...kiukweli leo naandika nikiwa na masikitiko makubwa, nilipaswa kuandika tangu juzi, so vumilia tu kusoma ninachoandika maana ndicho napenda. Masikitiko yangu ni kwa taifa kupoteza wanajeshi walinda amani kule Congo, inauma sana si kwa sababu tu rafiki yangu mzenji mmoja kapoteza kaka yake lakini pia watu wanaotufanya tuwe salama mipakani mwetu wameuliwa wakiwa wanalinda amani. Bahati mbaya haya ni mambo ya kijeshi hata kuweka mishumaa tu hatukupaswa kuweka. Wanajeshi wetu, nchi yetu tumepoteza watu muhimu na pengo lao ndilo linatufanya tuwe na ari zaidi ya kusimamia amani si nchini tu bali Africa nzima. Huhitaji kupitia JKT au mgambo kuyajua haya, mimi nayajua sababu huwa naangalia sana muvi za komandoo John na komandoo Suzi

Heshimu mazingira, heshima ni kitu cha bure, unalijua hilo. Sio unakuwa kwenye nyumba ya ibada unatafuna jojo (big G) kwa sauti utasema breki za treni. Unaenda kupiga picha kwenye swimming pool umevaa suti na nguo za vitenge na mbaya zaidi umeona kabisa kibao usikojoe hapa, wewe unakunya kisa kuna tofauti ya haja ndogo na haja kubwa.

Muziki sasa, ujue nakufurahia nikikuona hapa na siku zote sichoki kusema kuwa Kapuku forum ni sehemu bora kabisa kwa sababu wewe ni mmoja wa member muhimu.


Nimelia sanasana kwa msiba na mwisho siwezi ficha nimecheka we Obe wewe...hatari..RIP WANAJESHI WETU ,WALINDA AMANI...ASANTE KWA MUZIKI
 
Happy bilated to my Broo Nyagei


I have been offline mkuu kwa muda. Katika pita pita ndio nikaambiwa juzi ilikuwa siku ya kuzaliwa ya baba Paroko.

Mungu akupe maisha marefu kaka. May the highest one grant you a happy and long life.

Let's keep our brotherhood.

Cc;

Nyagei and Linamo
Thanks a lot brother


Nami nilikuwa offline leo ndio naonekana
 
natumai wote mmeamka salama wa salmin, tumshukuru mungu kwa hilo, hata kama hujaamka salama pia mshukuru pia, huo ni mtihani na chochote anachokupa mwenyezi mungu huwa ni mtihani aidha umshukuru ama umkufuru, tusiwe wenye kumkufuru mola wetu mlezi ambae ametupa neema nyingi nyingi.

Niwatakie Asubuh njema na siku njema makapuku wote nawapenda saana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom