Makapuku Forum

Makapuku Forum

natumai wote mmeamka salama wa salmin, tumshukuru mungu kwa hilo, hata kama hujaamka salama pia mshukuru pia, huo ni mtihani na chochote anachokupa mwenyezi mungu huwa ni mtihani aidha umshukuru ama umkufuru, tusiwe wenye kumkufuru mola wetu mlezi ambae ametupa neema nyingi nyingi.

Niwatakie Asubuh njema na siku njema makapuku wote nawapenda saana.
Tu wazima kabisa jirani

Za upande wako

Asante na asubuhi njema jio
 
IMG-20171214-WA0001.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom