Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Pole...hongera, ulifaulu la nne kumbe? Mimi nilirudia mara kibao hadi wakaniambia mikae mwaka miwli home ndo nije nianze la kwanza tena. Kuna watu mna bahati sana
Pole...hongera, ulifaulu la nne kumbe? Mimi nilirudia mara kibao hadi wakaniambia mikae mwaka miwli home ndo nije nianze la kwanza tena. Kuna watu mna bahati sana
Ila shunie wewe!Oooh niliwaza mbali nilijua mambo ya kulana



Mara papuuu anko obe kumbe ndo mwenye dar![]()
![]()
![]()
HahahaaaaTeh
Kuna ambao tutazimiaaaaaa





Ulipewa nini sasa
He he nitakufwa mieMara papuuu anko obe kumbe ndo mwenye dar![]()
![]()
![]()
Hawa wanajeshi waliouliwa Congo inasikitisha Sana Mungu awapumzishe mahali pema peponi Ameenkumbe 9 ni wa zanzibar
Mnoooooo yaan nilikua naangalia habari yao hapaInauma sana kwa kwelii
HahaaaaaHahahaaaa
Mara paap..! Unakuta unachatigi na magu chit chat..![]()
Najua wapi me kama ye wa ebu tutamuulizaMie niyaona ile Siku... Huku hayapo ila yeye si Wa Dar
Eeenh nimefurahia ukionana nae msalimie sana..kumbe hajaachiwa tu? Ndo maana unazidi kupendeza kumbe umefurahia kutekwa kwa anko wangu, nitamtafuta nimwambie
Teh![]()
![]()
![]()
na ulivo honeymoon ndo kazii hiyo lazima uliweee
Mkulaji kwani me ni mwanaumeIla shunie wewe!
Naanza kukuita Mkulaji sasa![]()
Aiseeee ebu muulize anko wako Lyon usinichoshe tusichoshane...wameuliwa kwa kosa gani? Hivi kuna kitu mimi sikijui jamani? Ninapouliza kuna jipya huwa sitanii
Juzi nilimuona mtu anapigwa sound na Waziri fulani kule MMU.Hahaaaaa
Kuna ambaye niko nae aki nimeshangaaaaaaaa
SawaNajua wapi me kama ye wa ebu tutamuuliza
Bora wewe uliipataa...niliishia kupewa asante tu
Wewe ni Mliwaji eeh?Mkulaji kwani me ni mwanaume
EwaaaaaaahTeh
Kula uliwe
HahahaaaJuzi nilimuona mtu anapigwa sound na Waziri fulani kule MMU.