makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,902
- 104,154
Mungu na miungu ni imani ya mtu dada yangu, naweza nikaandika MUNGU lakin still mtu akamaanisha MUNGU anaemjua yeye.. so haya ni mambo ya kiimani zaidi kuliko kuonesha ndugu yangu mprndwa, muhimu ni nia yako moyoni juu ya yule unaemmanisha na kuamin ndio..Hata kwenye biblia wametifautisha wanapoandika khs Mungu na miungu

