ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Aaa swalama baba habari ya weeSwalamaaaa
Aaa swalama baba habari ya weeSwalamaaaa
Hata juzi hujaenda pia,unafikiri tutafika kweli bila kumshirikisha Mungu????Jamaaani...
Si leo tuuu
Sasa last week si nilikuwa kule karibia na kwenu..Hata juzi hujaenda pia,unafikiri tutafika kweli bila kumshirikisha Mungu????
Ni njema sifa kwa bwanaNiko pouwa..
Za weekend
UbarikiweAmina
MafichoniUnaenda wapi
Acha wivu banaSi jina lako hilo ama anakosea? Manake naona sakayo anakuita hivyo![]()

*Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaikeFCC; kwa kuwa Bwana, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.*
*Yoshua 1:9*
Jumapili ya leo iwe maalum kwako kupitia neno hili
Uwe hodari
Na moyo wa ushujaa
Usiogope
Usifadhaike
Kwa kuwa kila uendako Bwana Mungu yu upande wako..
Nimejisikia vyema asubuhi ya leo tukumbushane Neno hili
Barikiwa sana![]()

We shauri yakoSasa last week si nilikuwa kule karibia na kwenu..
Nakupenda lakiniWe shauri yako
Hiyo tabia yako hainibariki hata kidogo!!!! Ndo maana siku hizi naona mabadiliko eeeh!!! Ibada ni muhimu mume wangu,haya mengine ni ubatili mtupuNakupenda lakini
Yaishe Basi jamaniHiyo tabia yako hainibariki hata kidogo!!!! Ndo maana siku hizi naona mabadiliko eeeh!!! Ibada ni muhimu mume wangu,haya mengine ni ubatili mtupu
HayaYaishe Basi jamani
Mcongo anataka aje akakutengeneze kucha...Haya
Poa T wa S,za jumapiliMambo Carba
NakumissMiss you more babe