Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Shem bwanaAhahaha
Shem bwanaAhahaha
Leo mnunulie bhasi 4 kama zile
Nshamjua japo na wewe ni domo zegemi sio domo zege bhana
Hila ni fumbo ajue tu kuwa nampenda sana 'ajue'
Mi sio domo zege sema natongoza ki-diplomacyNshamjua japo na wewe ni domo zege


Apambane na hali yake sina hela mieLeo mnunulie bhasi 4 kama zile
Mimi apa jamanShem bwana
Huna loloteMi sio domo zege sema natongoza ki-diplomacy![]()
Haya ww mdada sijui mkaka unapendwa huku na shedede mana unaweza ukawa unampenda mdada na avatar yake kumbe ni dume mwenzio mambo ya jf hayomi sio domo zege bhana
Hila ni fumbo ajue tu kuwa nampenda sana 'ajue'
Kwani m si nipoApambane na hali yake sina hela mie
Ni naniNshamjua japo na wewe ni domo zege
We muongo ujueHaya ww mdada sijui mkaka unapendwa huku na shedede mana unaweza ukawa unampenda mdada na avatar yake kumbe ni dume mwenzio mambo ya jf hayo


Taratibuu bhasiiii na weweHaya ww mdada sijui mkaka unapendwa huku na shedede mana unaweza ukawa unampenda mdada na avatar yake kumbe ni dume mwenzio mambo ya jf hayo
Ni shunieNi nani
MmhKwani m si nipo
Uongo wangu nini tenaWe muongo ujue![]()
Sipo
Aisee shunie mimi we shedede ebu njo we hujui kama me mke wa lee au inakuwajeNi shunie
Unatupa jiwe gizaniveeep