Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Hapa nisikilize mimi na shunie Tumosa hawa wengine achana naoHhhm sielew hata naelewaje yan
Hapa nisikilize mimi na shunie Tumosa hawa wengine achana naoHhhm sielew hata naelewaje yan
Subiri Kwanza nishushe hasira ndo ntakuelewaShemeji unapendwa ila waleta tarifa wamechanganya majina
Sawa mama mkubwa mi mwanao nimejifunza nataka kurudi nyumbanOooh kumbe! Basi huyo baba D na mdogo wake wana kesi ya kujibu, ukiwaona wape salamu zangu.
Sawa shemeji yanguHapa nisikilize mimi na shunie Tumosa hawa wengine achana nao

Sawa ila we nisikilize Mimi ndo nawajua vizuri kuwa yupi ni yupiSubiri Kwanza nishushe hasira ndo ntakuelewa
Rudi tu mwanangu, naamini dunia imeshakufunzaSawa mama mkubwa mi mwanao nimejifunza nataka kurudi nyumban
Baby swty mzima??Eti ee mi pia niko byee
Nielewe shemeji yangu
Nipo mimiMhhh... Jaman vibaya ivo kuiba Mali isiyo yako looh
Sawa narudi kesho maana hali mbayaRudi tu mwanangu, naamini dunia imeshakufunza
Wambie mcute wanguMhh si kwa udadisi huo au tunashare Mamaa? Bebe wangu ni Lyon Lee from makapuku na nampenda mno
Mama mkubwa masiwe manawapa watoto wa watu preshapoleeeeee. Kunywa maji
Ndo hivyo. Kila la kheri mke mwenza, ila mimi nilishamwagwa, namuita ex-hubby.
ebhu kuwa siliasi bhasi mnamkimbiza mcutte wangu
Baba d ni tofauti na lyon leeHee aiseee hii ni zaidi ya levolusheni ya mugabe haioni ndani huyu huyu lee!!!?
Hivi baba D ni nani sasa au nimemfananisha?
Wala hatushei napita tu majirani muwe na siku njema(nisije suntwa mie)
Hahahahaa kumbe anaitwa baba d Aisee yaan ngoja aje ataniambia leo![]()
baba d ni mpendwa wa shunie