Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
TUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO kwa udhamini mnono wa husna muba mpendwa wa Obe

TUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO kwa udhamini mnono wa husna muba mpendwa wa Obe

Wako bye, uko bye pia?!Mmeamkaje bandugu ba humu muko byee
Karibu asieeKapukuz mko poa?
TUOMBE*Eti ee mi pia niko byeeWako bye, uko bye pia?!
Asante ndugu yanguKaribu asiee
*TUOMBE*
Mwenyezi Mungu Mtakatifu, Mfalme wa wafalme,Baba wa Milele,Mshauri wa Ajabu,Mungu mwenye Nguvu Asante kwa kutufikisha siku hii ya leo.
Tunakushukuru kwa sababu Upendo wako ni mkuu kwetu, Kwa sababu unatulinda na kutuongoza, Kwa sababu unatupigania, Kwa sababu Unaweza zote,Unajua yote,Upo kila mahali. Mungu wetu tunaomba usinyamaze kila tukwitapo sisi peke yetu hatuwezi.
Tupiganie katika kila Jambo,Tufundishe,tushauri na kuturudi tunapokukosea. Mungu bariki Afya,Kazi,kusudi,Uchumi na Imani zetu.
Ni katika Jina la Yesu tunaomba tukiamini na kushukuru Amina.
Demi you are missed..Asante ndugu yangu
Sio kweli bana, ungenitafuta!Demi you are missed..
Sikuwepo jukwaani pia na mimi..Sio kweli bana, ungenitafuta!
Shemela Habari..Eti ee mi pia niko byee
Sikuwepo jukwaani pia na mimi..
Ila nilikumiss huko nilipokuwa..


haya bana. Nashukuru kwa kunimissPoa Shem mambo yakoShemela Habari..
Pouwa..
Mdogo wangu Lyon lee yuko salama?
yuko salama kabisaMuda wa chai huu ujue..! Umeshaandaa Chai?yuko salama kabisa
Pouwa shemelahaya bana. Nashukuru kwa kunimiss
Niko makini shemeji asikuambie mtuMuda wa chai huu ujue..! Umeshaandaa Chai?




