Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Uncle obe alifanyaje kwani?Heee kumbe nimeongopewa Mimi jamanlooh kumbe tupo wengi Sasa nimeanza kumuamini Anko obe
Uncle obe alifanyaje kwani?Heee kumbe nimeongopewa Mimi jamanlooh kumbe tupo wengi Sasa nimeanza kumuamini Anko obe
Mke wa lyon lee..sio Lee empire
Asante ya nini umemfanya shemeji yangu ashambiliwe kama mpira wa konaAsante mkuu
Hahahahahaha kaka nina kesi naeTeh nimechanganya madesa ila kosa si langu, ni wewe na kaka yako!
WoyoooooooooooooKha! Kisa cha kuikimbia ndoa bila sababu? Ukisusa wenzio wanajisevia
Mhhh Kama mambo yenyewe ndo hayo acha nijiengue mapema naogopa aibu mie
Najua na mm nakupendaaaaHanie utaniua mwenzio Ujue, Wajua vile nakupenda
Umeona huyo leeKho kho khooo jiran nimepaliwa mie. Shikamoo
Sawa nakuwa siliasii babyUsicheke lkn haya
Haukunialika harusini uchoyo huo
Mkuu kwema ?Mke wa lyon lee..sio Lee empire
Umeona huyo lee
Asante ya nini umemfanya shemeji yangu ashambiliwe kama mpira wa kona


Yap mkuu lee empire hayupoLeo nna haraka ila kuna sehemu alikuwepo lee empire mara paap yupo lyon lee it means empire ndo kasepa kimoja
Sikuwepo naingia nakutana na hayaAsante ya nini umemfanya shemeji yangu ashambiliwe kama mpira wa kona
Ndoa bado tumesha anza mipango ila lazima upate kadiHaukunialika harusini uchoyo huo
![]()
![]()
![]()
Wewe ungelinivurugia sherehe ...najua ungeliomba hainaga ushemejii