Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Shemeji nikuambieWalaa ila nimeanza kuyasikia kabla nikajipa mda kuyachanganua kama ni kweli au la Sasa naona karibia wote mnasema sawa wacha nijitoe tu
Shemeji nikuambieWalaa ila nimeanza kuyasikia kabla nikajipa mda kuyachanganua kama ni kweli au la Sasa naona karibia wote mnasema sawa wacha nijitoe tu
Mhhhh shemeji mambo Si mambo yamenifika shingoni mie ndoa imeingia doaShemeji hujambo?
Mi sijambo mamangu umenisusa mwanaoMarahaba mwanangu, hujambo?
Mwambie mama kukimbia sio kutatua tatizoKumbe wote wapo sawa, basi hakuna sababu ya kukimbia maana hata huko uendako utayakuta!
Sio mama mdogo ni shemeji maana nimetambulishwa kuwa ni shemejiShemeji tena! Sio mama mdogo??
Shem wangu hakuna safari isiyo kuwa na kona, milima, mito,Mhhhh shemeji mambo Si mambo yamenifika shingoni mie ndoa imeingia doa
Ooh sijui. Mke wa baba yako mkubwa si ni mama mdogo au?Sio mama mdogo ni shemeji maana nimetambulishwa kuwa ni shemeji
Nifafanulie kwa nini awe mama mdogo
Nambie shemeji yanguShemeji nikuambie
Numbisa mzima?
Mhhhh mama mkubwa unamwonea huyo mtoto maana Lee wa kwako sio huyo unae mzungumzia hapa kuna Lee wawili na huyo mwingine ndo babaDOoh sijui. Mke wa baba yako mkubwa si ni mama mdogo au?
Natatuaje Sasa hapo wakati tayar anaitwa baba eeMwambie mama kukimbia sio kutatua tatizo



Shemeji punguza mnkali maana wanao leta haya maneno hawajui chochote wanataka mtengane waje wakuchekeNambie shemeji yangu
Niko poa nashukuru Leo tumekutana hukuMzima kabisa,upo poa?
Huyo Baba D ni kaka yake amabae ndo Mme wa shunieNatatuaje Sasa hapo wakati tayar anaitwa baba ee![]()
Wajua Nini shemeji,bby nilimuuliza tangu mwanzo na akanihakikishia tangu mwanzo niko peke yangu umeona, Sasa leo nasikia mara baba d sijui nini...iiiiii ohShem wangu hakuna safari isiyo kuwa na kona, milima, mito,
Hivi umemuuliza huyo baby wako kasemaje kuhusiana na hii tuhuma au unajichukulia maamzi kwa kusikiliza maneno


shemeji inauma inauma yaan mi nilidhan napendwa Mimi tu kumbe.... 



Hhhm sielew hata naelewaje yanShemeji punguza mnkali maana wanao leta haya maneno hawajui chochote wanataka mtengane waje wakucheke
EeeHuyo Baba D ni kaka yake amabae ndo Mme wa shunie

Shemeji unapendwa ila waleta tarifa wamechanganya majinaWajua Nini shemeji,bby nilimuuliza tangu mwanzo na akanihakikishia tangu mwanzo niko peke yangu umeona, Sasa leo nasikia mara baba d sijui nini...iiiiii ohshemeji inauma inauma yaan mi nilidhan napendwa Mimi tu kumbe....
![]()
Oooh kumbe! Basi huyo baba D na mdogo wake wana kesi ya kujibu, ukiwaona wape salamu zangu.Mhhhh mama mkubwa unamwonea huyo mtoto maana Lee wa kwako sio huyo unae mzungumzia hapa kuna Lee wawili na huyo mwingine ndo babaD