makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,839
- 103,950
Niambie chief..Chief mwenyewe
Niambie chief..Chief mwenyewe
Mzee tulia labda bimkubwa kahisi una malaria kakuwekea catalyst kidogo..

Sijui ameenda kuswampa wapi dada yangu yule..Niko poa mzee baba
Nionee kibwengo wetu

Jamaniii huyu dada huyu ....tena liwe debe la mahindiSijui ameenda kuswampa wapi dada yangu yule..
Ukimpata mtu ana gunia la mahindi mwambie aje nibadilidhane nae.. nimpe dada yangu huchina anipe gunia la mahindi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Asante MtumishiZaburi 144
1 Na ahimidiwe BWANA, mwamba wangu, Anifundishaye mikono yangu vita, Vidole vyangu kupigana.
2 Mhisani wangu na boma langu, Ngome yangu na mwokozi wangu, Ngao yangu niliyemkimbilia, Huwatiisha watu wangu chini yangu.
3 Ee BWANA, mtu ni kitu gani hata umjue? Na binadamu hata umwangalie?
4 Binadamu amefanana na ubatili, Siku zake ni kama kivuli kipitacho.







Hata kama hayajakobolewa, tutakoboa mbele kwa mbeleJamaniii huyu dada huyu ....tena liwe debe la mahindi

Au kisado kinatoshaaaHata kama hayajakobolewa, tutakoboa mbele kwa mbele![]()
![]()
![]()
Hata kama ni kilo ya dona, atupe tu tusonge ugali tujaze tumbo, ye ataenda kujuana na balaa lake mbele kwa mbele hukoAu kisado kinatoshaaa

Tena tusonge tule bila ata nyanya chungy wala bamia ...kama vibamia atakutana navyo hukooHata kama ni kilo ya dona, atupe tu tusonge ugali tujaze tumbo, ye ataenda kujuana na balaa lake mbele kwa mbele huko
We mtoto wa kike gani anadamka lukwili jogoo hajanya, ye hayupo mpaka machweo ndio unaweza kuona vigulu baja vyake, ukiona hvyo kaishatoka kwa shabani madobe wake..![]()
![]()
![]()
KwemaHabari zenu wapendwa...?
Mimi naumwa sana hofu kwako tu nilikuwa nataka hiyo nyimbo iniliwaze tu mwambie binamu asante nimepata ujumbe wake acha nipambane na hali yanguMama d mzima wewe ??
Binamu kanambia eti upambane na hali yako mziki kanunue cd ...hakuwekeiii
Kwahyo hiyo avatar unataka tongozwa pm auHabari zenu wapendwa...?
Tena tusonge tule bila ata nyanya chungy wala bamia ...kama vibamia atakutana navyo hukoo
.. sie tutakula kwa mchuzi wa chuku chuku.
ShemMimi naumwa sana hofu kwako tu nilikuwa nataka hiyo nyimbo iniliwaze tu mwambie binamu asante nimepata ujumbe wake acha nipambane na hali yangu

Kwema
Obe anacheza bilinge bayoyo na mwali wake huoni hali ya hewa hii mdogo wangu..Binamu Obe naomba nyimbo ya Yawa ya teknoubarikiwe sana nakupenda tu mimi