Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20171109-WA0014.jpg
 
Nakusalimia sana kapuku uliyeamshwa na uzima kwa siku ya leo na hii salam inaenda sambamba na shukrani za dhati kwa anko wangu Obe usiku wa jana kukulaza na kitu cha fally ipupa akipendacho BlessedHope...ata mama d najua alienjoy japo bahati mbaya baada ya kuweka mziki anko wangu alinyanganywa simu na kibonge wake make kafanya usajili mpya na kujifanya mtu mwema kwake ndo kaamua lain yake wanayomsumbua wengi hasa wale wahamiaji haramu anipe mimi nipambane kwa niaba yake ....huyo ndo anko

Soon kitu UF chawajia
Asante sana kwa UF Mungu akubariki san kwa kazi njema Siku njema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom