Nzuri mkuuZa asubuhi wadau wa KF
Nawe pia barikiwa sanaView attachment 627155Asubuhi njema wadau
Asante sana kwa UF Mungu akubariki san kwa kazi njema Siku njemaNakusalimia sana kapuku uliyeamshwa na uzima kwa siku ya leo na hii salam inaenda sambamba na shukrani za dhati kwa anko wangu Obe usiku wa jana kukulaza na kitu cha fally ipupa akipendacho BlessedHope...ata mama d najua alienjoy japo bahati mbaya baada ya kuweka mziki anko wangu alinyanganywa simu na kibonge wake make kafanya usajili mpya na kujifanya mtu mwema kwake ndo kaamua lain yake wanayomsumbua wengi hasa wale wahamiaji haramu anipe mimi nipambane kwa niaba yake ....huyo ndo anko
Soon kitu UF chawajia

Amina mamaAsante sana kwa UF Mungu akubariki san kwa kazi njema Siku njema![]()
Bless U Son

Safi kabisa shem wangu, familia haijamboShemela za asubuhi
Mmmh jamaan nyie si mpo humu mngeona tu niliowaita ujue hawapo kapuku woiii nisamehe jamaanHata kama hujaniita ntasoma tu
Mchina huyu anachembe chembe za utanzania.. atakuwa mbongo huyu..
Chief mwenyeweMchina huyu anachembe chembe za utanzania.. atakuwa mbongo huyu..