BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
MorningMorning
Oooooh mama wala usijali dakika chacheNaupenda sana huo wimbo,naamini utanitumia son..Bless U
Shemela za asubuhiHata kama hujaniita ntasoma tu
Morning LeeMorning mpendwa
KaribuNakusalimia sana kapuku uliyeamshwa na uzima kwa siku ya leo na hii salam inaenda sambamba na shukrani za dhati kwa anko wangu Obe usiku wa jana kukulaza na kitu cha fally ipupa akipendacho BlessedHope...ata mama d najua alienjoy japo bahati mbaya baada ya kuweka mziki anko wangu alinyanganywa simu na kibonge wake make kafanya usajili mpya na kujifanya mtu mwema kwake ndo kaamua lain yake wanayomsumbua wengi hasa wale wahamiaji haramu anipe mimi nipambane kwa niaba yake ....huyo ndo anko
Soon kitu UF chawajia
AmenZaburi 144
1 Na ahimidiwe BWANA, mwamba wangu, Anifundishaye mikono yangu vita, Vidole vyangu kupigana.
2 Mhisani wangu na boma langu, Ngome yangu na mwokozi wangu, Ngao yangu niliyemkimbilia, Huwatiisha watu wangu chini yangu.
3 Ee BWANA, mtu ni kitu gani hata umjue? Na binadamu hata umwangalie?
4 Binadamu amefanana na ubatili, Siku zake ni kama kivuli kipitacho.
Njema ubarikiwe sanaZa asubuhi wadau wa KF
Asante sana Shullulu na Moneytalk kwa magazetiTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO kwa udhamini mnono wa moneytalk