Makapuku Forum

Makapuku Forum

87dd2dbed373ec972070a0deb864ae2f.jpg
Sijaelewa
 
Nakusalimia sana kapuku uliyeamshwa na uzima kwa siku ya leo na hii salam inaenda sambamba na shukrani za dhati kwa anko wangu Obe usiku wa jana kukulaza na kitu cha fally ipupa akipendacho BlessedHope...ata mama d najua alienjoy japo bahati mbaya baada ya kuweka mziki anko wangu alinyanganywa simu na kibonge wake make kafanya usajili mpya na kujifanya mtu mwema kwake ndo kaamua lain yake wanayomsumbua wengi hasa wale wahamiaji haramu anipe mimi nipambane kwa niaba yake ....huyo ndo anko

Soon kitu UF chawajia
Karibu
 
Zaburi 144

1 Na ahimidiwe BWANA, mwamba wangu, Anifundishaye mikono yangu vita, Vidole vyangu kupigana.

2 Mhisani wangu na boma langu, Ngome yangu na mwokozi wangu, Ngao yangu niliyemkimbilia, Huwatiisha watu wangu chini yangu.

3 Ee BWANA, mtu ni kitu gani hata umjue? Na binadamu hata umwangalie?

4 Binadamu amefanana na ubatili, Siku zake ni kama kivuli kipitacho.
Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom