Makapuku Forum

Makapuku Forum

0054f90392a3ef9bda9748e000b2c7fd.jpg
 
Zaburi 144

1 Na ahimidiwe BWANA, mwamba wangu, Anifundishaye mikono yangu vita, Vidole vyangu kupigana.

2 Mhisani wangu na boma langu, Ngome yangu na mwokozi wangu, Ngao yangu niliyemkimbilia, Huwatiisha watu wangu chini yangu.

3 Ee BWANA, mtu ni kitu gani hata umjue? Na binadamu hata umwangalie?

4 Binadamu amefanana na ubatili, Siku zake ni kama kivuli kipitacho.
 
Muziki: Ulevi wa Salamu

...hivi unajua jumatano huwa imekaa kama jumatatu? well, siulizi swali kwamba ujibu, haya ni maelezo yaliyokaa kiswali yasiyohitaji majibu maana hakuna jibu moja. Kila mmoja wetu humu anatafasiri ya siku yake, kama yuko kwenye siku yake mbaya basi Jumatano itakuwa mbaya, nyeusi na inafanana na giza, na akiwa na siku nzuri basi tabasamu ni pana hadi wakati anaingia kitandani na kupumzika kwa amani.

Ninakusalimia wewe kapuku mheshimika, leo nimechelewa kusoma magazeti na nimeyasoma muda si mrefu hii ni kwa sababu nilihudhuria ndoa ya mkeka ambapo bwana harusi ni baba wa nyumbani na mama ni nesi. Maisha popote, kivyovyote na uzuri wa neti ni mmoja tu, matundu. Neti isipokuwa na matundu hiyo siyo neti tena bali shuka au kitenge. Anko wangu kanipigia simu, ujue napenda kukushirikisha mambo ya anko wangu kwa sababu ni mtu mwema sana na ana mke wake ambaye mimi ni aunt yangu na wanapendana sana na hata zifanyike hila za namna gani hawawezi kuachana. basi anko kalonga sana anavyompenda aunt yangu, nikasikia sauti pembeni kuuliza ni sauti ya nani, anko akasema ni ya Zuwena. nikakata simu maana aunt yangu akijua basi msala unahamia kwangu na sitaki nichukiwe na aunt yangu.

Muziki sasa, ninakupenda sasa wewe kapuku mheshimika, ujue nini shululu , Tumosa , Transcend , Gentries , Nyagei , Shunie , Lyon Lee , makaveli10 , husna muba , Mkushi wa kusi , moneytalk , Tetramelyz , Shadrack K. Lwila , SHIMBA YA BUYENZE , BlessedHope , Werrason , mzeewakungoa , dingimtoto , Mndali ndanyelakakomu , Sweetiepie , eden kimario , na wewe unayenisoma muda huu. Kapuku ni sehemu nzuri kwa kuwa tu wewe uko hapa. tuwe na wwakati mzuri usiku huu


 
Nakusalimia sana kapuku uliyeamshwa na uzima kwa siku ya leo na hii salam inaenda sambamba na shukrani za dhati kwa anko wangu Obe usiku wa jana kukulaza na kitu cha fally ipupa akipendacho BlessedHope...ata mama d najua alienjoy japo bahati mbaya baada ya kuweka mziki anko wangu alinyanganywa simu na kibonge wake make kafanya usajili mpya na kujifanya mtu mwema kwake ndo kaamua lain yake wanayomsumbua wengi hasa wale wahamiaji haramu anipe mimi nipambane kwa niaba yake ....huyo ndo anko

Soon kitu UF chawajia
Naupenda sana huo wimbo,naamini utanitumia son..Bless U
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom